mitishamba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 697
- 111
- Thread starter
-
- #61
chupi za watoto zenyewe hazina tatizo...Hapo ndio utajua jinsi MAWAZO yanavyoumba. Wengine wametangulia mbele zaidi...nywele,miguu navyo vimewekwa kundi hili la chupi,yaani visionekane wazi kwani vitakufanya uwe na matamanio. Mimi naenda mbele hatua kumi:hata Mungu unayemfahamu alitengenezwa mawazoni kama chupi...usihamaki hebu rudia kusoma. Mungu ambaye ana kiberiti na petroli, ambaye hata kama ulikufa kwa ajali ya moto lazima akupe mwili upya ili akuchome yeye afurahi...
Siri ya chupi aijuae mvaaji..
Na kwa bahati mbaya ikaanguka halafu akaiokota yule mtoto wako mtukutu na kuanza kuzunguka nayo mtaani!?
Poleni na kazi jamani.
Mkeshaji ! Huu mchana si utuachie sie ambao hatukeshi ? Wewe uanze kuchangia usiku ?
Hapa nilipo sa hizi ni saa 03:22 PM
Hili vazi linashangaza kweli!
Dukani linauzwa hadharani.
Wakati wa kununuliwa linanunuliwa kwa siri.
Wakati wa kuvaliwa linavaliwa kwa siri na linavaliwa sirini.
Linaficha siri.
Linafuliwa na kuanikwa kwa siri.
Linapochakaa linatupwa kwa siri.
Kwa nini limekuwa la siri kiasi hiki?
Kuna taarabu moja ya zamani kidogo nimesahau mwimbaji wake kwa jina aliimba akiuliza nini kazi ya kufuli, kwake yeye anaona heri anunue kofia ili imsitiri jua ila haoni kazi ya "PAZIA" maana wala hailindi chochote, mtu akitaka kuingia anaingia tu........ndio yule mwimbaji alieimba wimbo wa Njiwa peleka salamu
Nadhani wewe ndo unalifanya siri
kwangu mimi sio siri
Mpwa hii kali!
Wewe waungana na huyo mwimbaji?
Nadhani wewe ndo unalifanya siri
kwangu mimi sio siri
...hata za wanaume?
Cha kushangaza sasa:
Kama vazi hili linavaliwa maeneo ya siri kwa nini linawekwa marembo (hasa kwa wenzetu)/ya nini kuvaa za thamani kubwa.....kwa faida ya nani?
kuonekana sexy babu eh, nashanga hata mwasema ni siri.
Hili vazi linashangaza kweli!
Dukani linauzwa hadharani.
Wakati wa kununuliwa linanunuliwa kwa siri.
Wakati wa kuvaliwa linavaliwa kwa siri na linavaliwa sirini.
Linaficha siri.
Linafuliwa na kuanikwa kwa siri.
Linapochakaa linatupwa kwa siri.
Kwa nini limekuwa la siri kiasi hiki?
Nadhani wewe ndo unalifanya siri
kwangu mimi sio siri