Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I guess anataka kutengeneza za kwake ili asiwe anaingia gharama kununua...!!! Labda niwe sijamuelewa.Buni cha kwako mkuu, kuiga kila kitu tutapiga hatua lini?
Exactly hilo ndio lengo langu! Kiukweli nataka nijue kuzipika and I mean it!! Kama nlivokwisha sema niko very addicted boksi 1 tu linaisha within a week[emoji26] so nkimake zangu ntaminimize cost.And besides napenda sana kupika!I guess anataka kutengeneza za kwake ili asiwe anaingia gharama kununua...!!! Labda niwe sijamuelewa.
Japo ninachoamini mimi, mtu wa pili na wa tatu always wanatembelea mapungufu ya mtu wa kwanza. So anaweza akatengeneza karanga bora zaidi, walaji wakapata new taste, ma mkulima akafaidika. Sio mbaya pia.....!!!
Buni cha kwako mkuu, kuiga kila kitu tutapiga hatua lini?
nganoIvi ile kitu inayowekwa nje ya karanga za naseeb ni nini?
hata mtaani zilikuwepo, sema packing ilikuwa mbovuMmmh
Diamond hajabuni
Zipo tele nchi zingine
yaah, japo hazifanani kabisa na hizi za diamondhata mtaani zilikuwepo, sema packing ilikuwa mbovu
mixer ya ngano, sukari, chumvi +/- yai (sijajua)Ivi ile kitu inayowekwa nje ya karanga za naseeb ni nini?
Mi naona dizain kama umenimix kiaina, yaani karanga zinakuwa coated na unga wa ngano plus unga wa karanga tena!?Mixture of wheat floor na unga wa karanga plus sugar then kwa oven wanaoka
hata mtaani zilikuwepo, sema packing ilikuwa mbovu