Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Mara nyingi tu nimeona Wakenya wakijinyambwafai humu eti mabenki yana piga hela ndefu kinyama.
Ukweli ni kwamba 90% ni faida kutokana na riba ya kukopesha serikali ya Kenya.
Rais Magufuli alipoingia ofisini kazi ya kwanza ilikuwa kufuta benki zilizojifanya kupe kama hizi. Hongera Tanzania ipo kwenye right track
Ukweli ni kwamba 90% ni faida kutokana na riba ya kukopesha serikali ya Kenya.
Rais Magufuli alipoingia ofisini kazi ya kwanza ilikuwa kufuta benki zilizojifanya kupe kama hizi. Hongera Tanzania ipo kwenye right track