kinachotufanya watanzania wengi kuwa masikini ni uchoyo wa information. Alikuja mfaransa m1 alitupatia mafunzo ya jinsi ya kupata mtaji,jinsi ya kuanzisha biashara yako.jinsi ya kukuza biashara yako mafunzo yalikuwa ya wiki 2. Baada ya kukomaa alituonyesha oppotunity nyingi zilizopo tanzania na jinsi wa tz tulivyo lala kweli nilijiona mjinga sana nikasema ndo maana wakija wageni wanatajirika haraka sana nakubaki tuna roho ya kwanini .jamani kuna oopotunity nyinngi sana ss ndo tumelala uku tukibaki kulaumu serikali .plz haya mafunzo yanatolewa bure pale benjamin mkapa tower bure kbsa hamna kiingilio stop blaming anyone except u r self.uwoga wako ndo umasikini wako.kwa wale wanaoamini ktk ujasiriamali plz chk with me nikupe mchakato mzima.