Siri ya kung'ang'ania muungano

kwamaana nyingine mkataba ulikua uishe mwaka 1938...lakini katikati ya hapo ikatokea vita ya kwanza ya dunia na wajerumani wakaondoka Tanganyika na kumwachia mwingereza...je nini ilikua hatima ya huo mkataba wa kukodi ukanda wa pwani kwa miaka 50?

Wataalam wa historia na sheria watakuja kutujuza.
 
Kwa akili za wale wenzetu inawezekana kabisa wakadai hivyo na pengine zaidi!
 
lol! yani umepika ugali tegeta afu mboga unitafuta tabata. muulize huyo huyo mzee.
 
Pumbaf mwenyewo mipaka walipanga wàkoloni kwa manufaa yao kama hutambui tafuta historia ni kweli ukanda wote wa pwani ulikuwa uko chini ya himaya ya zanzibar mombasa wamelipa fidia kurudi katika himaya ya kenya
 
Kuna mfalme wa wafalme leo hii yuko wapi anaangalia hatma yake ya akhera kiburi na maneno ya ufedhuli ni nguvu za punzi unazovuta na kukudanganya kama vile hutofika mbele ya haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…