Mimi naona watu wenye hela huwa hawakai kaunta.
Ila wale wenye hela za kuvizia ndiyo huwa wanapenda kukaa mbele pale waonekane na wenyewe wamo.
Watu wenye hela zisizo za mawazo hupendelea zaidi kukaa pembeni huku.
Huku Kwetu Kwamtogole, land Lord akishakusanya pesa anakwenda bar kuchukua bia zake mbili na anatoa kochi barazani na stool yenye kitambaa, kila anaepita anamuona kuwa yeye ni mtu wa vizibo na si wa matapu tapu.