Siri ya mafanikio ya Illuminati

Siri ya mafanikio ya Illuminati

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,451
Rothschild alimuagiza Adma Weishaupt kuanzisha Illuminati. Weishaupt alikuwa anatafuta Greater na Lesser keys of Solomon,ambazo ndizo nimezipost hapa. Rothschild provided the keys. Kwa hiyo Adam Weishaupt akaianzisha dini ya Illuminati kwa kutumia hizi keys pamoja na Caballa. Dini,imani ya Illuminati ni Keys na Caballa. Adam Weishaupt akawa priest for the Illu
Every successful individual,taasisi pamoja na Serikali iliyopata mafanikio duniani,have one thing in common. This was the method used.
Kila ambye hajapata mafanikio duniani,they have ,likewise,one thing in common,they have not used these dastardly techniques that are described here in these works.
Sijazisoma. I want now to see what it is.
 

Attachments

avatar12507_3.gif


Hii sura hii dah naona kama inatoka kwenye ile ukoo wa Zanaki kule..!
 
Just curious, Andrew, nini hobby yako?


Mkuu FJM,

naona Andrew anakuchanganya sana na manondo anayoyashushaga humu JF inafikia mpaka kutaka kujua Hobby yake,
inabidi umfate polepole utamuelewa tu, maana kuna siku alishusha nondo kama kurasa nne hivi za JF.

Msome mkuu anavitu adimu sana
 
Last edited by a moderator:
Mkuu FJM,

naona Andrew anakuchanganya sana na manondo anayoyashushaga humu JF inafikia mpaka kutaka kujua Hobby yake,
inabidi umfate polepole utamuelewa tu, maana kuna siku alishusha nondo kama kurasa nne hivi za JF.

Msome mkuu anavitu adimu sana

Yeah_vingi ni vya uongo lakini.
 
Hii ilifaa iwe kule Jamii Intelligence' itawapata wachangiaji huku mhhhh'
 
Hivi kwa nini wanawake huwa pia mnapenda kujidharau...lakini pamoja na hayo huwa mnalalamika mnadharauliwa
Mda mwingine kumjibu mjinga yahitaji busara sana.,ujinga ni nusu ya mauti
 
Kwanza tuambie iluminati ni nini,maana umeongea kimkatomkato tu sijaelewa hapo!
 
ahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa_chezea Andrea Nyerere wewe.
Hii kitu ya Illuminati kama Andrew Nyerere alishaileta hapa!!!!!! na tukaishindwa
Mm labda nimkumbushe ile trip yake ya kumtembelea UHURU KENYATTA wakati alipoishiwa nauli pale Nairobi kuwa mwenzake keshaukwaa Urais, akachukue maujanja kwani sasa hatamtupa tena
Hii Illuminati ngoja nisepe nitarudi nikiifuma
 
Last edited by a moderator:
Mkuu FJM,

naona Andrew anakuchanganya sana na manondo anayoyashushaga humu JF inafikia mpaka kutaka kujua Hobby yake,
inabidi umfate polepole utamuelewa tu, maana kuna siku alishusha nondo kama kurasa nne hivi za JF.

Msome mkuu anavitu adimu sana

Ukisoma post nyingi za huyu Andrew ni mambo hayo hayo ya ma-Iluminati and some crazy cults!
 
If it seems like it is evil ,it is because it is evil. Ndio tunasema there are some very,very bad people in the world who arevery,very powerful,we are all in trouble,ndio maana ya hizi revelations za hawa Illuminati which has now contaminated the freemasons. It is what the world financial crisis is is about.
 
If it seems like it is evil ,it is because it is evil. Ndio tunasema there are some very,very bad people in the world who arevery,very powerful,we are all in trouble,ndio maana ya hizi revelations za hawa Illuminati which has now contaminated the freemasons. It is what the world financial crisis is is about.

haya sasa,........
 
ama unamtesa kijana wa watu,
mhm mbwa kasikia harufu ya chatu,
kazi kwako mkubwa......
 
Back
Top Bottom