Siri ya mbaazi na bikra kwa wanawake

Kudo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2017
Posts
1,821
Reaction score
6,119
Mbaazi ni moja ya dawa za mitishamba zinazotibu mambo mengi ikiwemo kurudisha bikra ya msichana endapo majani yake yatatumika na kuandaliwa vyema. Tuwe makini katika kufuata njia za kuandaa dawa yetu.
MAANDALIZI YA KUANDAA MAJANI YA MBAAZI
  • Chukua majani ya mbaazi kisha yatwange
  • Weka maji kidogo vaa kama pedi kwa muda wa wiki utaona mabadiliko
FAIDA ZA KUTUMIA MAJANI YA MBAAZI
  • Kukausha uke
  • Kuondoa majimaji ukeni
  • Kuongeza joto ukeni wakati wa jimai
  • Kuongeza hamu ya tendo la ndoa
  • Husogeza kizazi karibu
  • Kusafisha kuta za uke
NB : Mbaazi ni mti wenye maajabu makubwa kuanzia Mizizi yake mpaka majani
 
Kurudissha bikra sidhani kama inawezekana Ni kama unafungua soda kunywa halafu unasema unaweza kurudisha kizibo kama kiwandani, utaziba temporary laakini sio kama kiwandani, kwa ufupi hio technologia haipo mkuu,used only once
kama Ni kweli unalosema mbaazi ingekuwa na soko kubwa, lakini kinyume chake kilo moja Ni sh 300
 
Ujinga huu utaupata Africa tu basi, sijui tunamatatizo gani sisi watu wenye nywele fupi? Eti inarudisha Bikira, seriously!?
 
Has. Mkuu subiri majani ya mbaazi yatauzwa hadi na wamachinga walahi
 
Sasa ukikausha maji kwenye uke si mtatufanya na sisi mate yakauke kwa kasi.make kazi ya kutemeamo mate kila mda so mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…