Huu msemo kwa nini unahusishwa sana na mambo ya malavi davi. Kwa wenye ufafanuzi mtu dadavulie kidogo. Maana sisi wengine na misemo mbali na mbali
. Watoto wa DSM bwana Kiswahili tatizo 'adonoi' - HADONOI na ali - HALI jamani acheni kuharib u kiswahiliMara ohh kuku wa kuchora, adonoi, awiki wala ali