Siri ya mtungi, aijuaye kata

mi nafikiri huu msemo una maana ifuatayo, kwamba jambo lisipokukuta hauwezi jua uzito wake..lakini likikukuta ndo utakapo jua uzito wake...nafikiri kwa uelewa wangu mdogo nimeelewa hivyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…