Kwa wale wenye upeo wa kujua vizuri watakubaliana nami.
Siri ya Mtungi ni miongoni mwa Tamthilia bora za Lugha ya Kiswahili kuwahi kutengenezwa Tanzania.
Ni aibu kwanini hatuna Tamthilia za namna ile kedekede, kwani tunanyimwa uhondo haswa.
Wahusika wote kwenye entertainment industry tunaomba vitu kama hivyo, tuzidi kuburudika na kuitangaza vyema Lugha ya Kiswahili kupitia burudani.
Ramadhan Kareem.
Uzi tayari.
Mufti kuku The Infinity
The Mongolian Savage