Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
๐๐Anajua cocaMajibu yanareflect au ah....ah.ah..
Ahsanteee sanaa.[emoji120][emoji120]Kuvaa rangi ya pinki mara nyingi huleta hisia za upendo, unyenyekevu, na huruma. Pia inaweza kuashiria upole, furaha, na mtazamo wa kufurahia mambo madogo maishani. Watu mara nyingi huivaa kama ishara ya hisia za kike au kama njia ya kuleta uchangamfu kwenye mavazi yao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nguo nyingi white na pink wallah hivi.[emoji23][emoji23]Anajua coca
Ila mie nikivaa black lazima white awepo hata bila kupangilia,sijui kwanini
Kuna siku nikakosa dili la maana kisa marangi hayo[emoji108]
Pande zingine za dunia...Mfano;
Kijani ni rangi ambayo ina uhusiano mzuri na uchangamfu, kupumzika, faraja, kutambuliwa, huduma, urafiki, pesa na masuala ya kifedha, asili, karisma, kuaminika, ubunifu, usawa, uponyaji, na ukarimu. Mauhusiano hasi ni pamoja na siri, husuda, ukakamavu, na kutokuendelea.
Kijani ni rangi ambayo ni rahisi kwa macho na akili. Kwa hiyo, ikiwa unajikuta ukivalia kijani mara kwa mara, kuna uwezekano unataka kuthaminiwa na kutambuliwa."
Hicho ndicho unachowaeleza watu kwa kujua au kutojua..Ahsanteee sanaa.[emoji120][emoji120]
๐๐ Nakutania mdogo wangu,nilitaka nisikie sauti yako 2024[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani dyadyaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kura si zilipigwa? Kashinda kihalali.[emoji23][emoji23] Nakutania mdogo wangu,nilitaka nisikie sauti yako 2024
Eti FaizaFoxy kashinda mrembo wa jf,kesho mapema tukutane posta mpya tukiwa na mabango tuandamane [emoji23][emoji23][emoji23]
Hana shukran,binafsi nimempigia kura,afu anageuka,anaanza kunitukana?miss gani mwenye matusi?ana mdomo mrefu kama mama yake wema sepetuu ๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kura si zilipigwa? Kashinda kihalali.