Siri ya serikali 2: kwanini haziepukiki

Kushindawa kuchangia sio issue!!! Mbona Tanzania mpaka Leo ni ombaomba na inategemea misaada kuendesha serikali?? Kama ndiyo hivyo kulikuwa hakuna maana ya kupigania uhuru..... Hawa ndo maprofesa ambao elimu yao sijui imewasaidiaje??

Tanzania wanaomba misaada kwa sababu wamelemewa na zigo la kuwalea na kuwalisha Wazenji walalamishi nina imani Kama Tanganyika wangekuwa peke Yao wasingeomba msaada toka nje
 
wajua kuwa bajeti yote ya zanzibar haizidi bilioni 600?.

Kati ya hizo Tanganyika huchangia ngapi?
 
Je kwa nini hawataki kulipia?

Visiwa hivi vitandeleaje kuwa sehemu ya Muungano wakati hawalipii gharama?

Hawa waanyakazi wote wa Muungano toka Zanzibar kwa hiyo hulipwa na kodi za Bara kwa miaka hii yote?

Sasa Bara waafaidi nini?

Karume na Nyerere waliasisi muungano wakitarajia Kuwa utakuwa ukiborehwa hadi Kuwa Serikari Moja tu ambayo ingepunguza Gharama nyingi zinazotumika sasa lakini imekuwa Kinyume Wazenji wakuwa Wajanja wanakula Mkwanja sana kisha wanalalamika kwa saana huku Tanganyika ikihaha kubembeleza muungano kwa fedha nyingi
 
Tanzania wanaomba misaada kwa sababu wamelemewa na zigo la kuwalea na kuwalisha Wazenji walalamishi nina imani Kama Tanganyika wangekuwa peke Yao wasingeomba msaada toka nje
misaada mingi ya nje huja Tanzania kwa jina la muungano,na mingi inatumika bara,sijawahi ona magufuri akijenga barabara hata kilometa moja zenj.

Wala mwakyembe akijenga miundo mbinu zenj.zenj wakiwa huru nao watapokea miradi ya nje kama taifa huru.
 
Sawa Mkuu, hapa kuna hoja na uhalisia ni Zanzibar ipewe uhuru wake. Kuhusu Mtatiro nadhani ni naibu Katibu Mkuu CUF bara siyo Zanzibar
 

Znz wamevurugwa sio kila mtu anataka /hautaki muungano inategemea na siasa na ukanda waunguja na wapemba so serekali tatu na znz kupata full autonomy kule kitachofuata hakisimuliki. Nadhani ni hili ndilo lililowaeka waasisi chini
 

Kuna watu wanaota znz itakuwa Dubai ikiwa na serekali yake yenye mamlaka kamili
 
sasa hiyo ni faida kwa Tangayika au hasara? hapo ndipo unaposhindwa kuwaelewa wabunge wa ccm bara
 
Ni serikali tatu tu .huyo sijui ni professor wa
Kitu gani asiejitambua au ni wale wafuga
Nguruwe.
 
Kwa mujibu wa facts hapo juu BASI SERIKALI MOJA HAIEPUKIKI!!!AU SERIKALI TATU!!!!ZANZIBAR IWE INATOA WAZIRI MKUU TU!!
 

Believe me! Muungano unawanufaisha watu wachache sana Zanzibar!
Endapo hautarekebishwa, ni heri uvunjwe!
 
Znz wamevurugwa sio kila mtu anataka /hautaki muungano inategemea na siasa na ukanda waunguja na wapemba so serekali tatu na znz kupata full autonomy kule kitachofuata hakisimuliki. Nadhani ni hili ndilo lililowaeka waasisi chini

No!
Before harakati za uamsho, Wazenji wengi walikuwa wajinga especialy CCM na Waunguja!
Uamsho umeondoa itikadi za chama na ukabila, thus why ktk hao uamsho wengine ni Wapemba, wengine ni Waunguja, wengine ni CCM, wengine ni CUF, wengine wanatoka vyama baki na wengine hawana chama!
...
Uamsho wamesimamia dini! Na kwavile zaidi ya 95% ya Wazanzibar ni waislamu, hii imepelekea kukubalika kwa Uamsho na raia wengi Zanzibar! Main focus ya Uamsho ni kuonganisha Wazanzibar na kupinga kuonewa/kukandamizwa Zanzibar!
...
Habari za kusema Muungano ukivunjika Kitakachotokea Z'bar hakijulikani (ukimaanisha vita ya Wapemba na Waunguja) siwezi kukataa na vile vile siwezi kukubali! Machafuko hutokea popote na mda wowote!
Kwa mantiki hiyo, kung'ang'ania Muungano kwa hoja hiyo ni upuuzi!
...
Na serikali tatu ndio suluhisho la mgogoro wa Tz bara na Tz visiwani!
Apart from that, i believe Zanzibar without Union (with Tz bara) ni bora na itajenga ushindani wa kimaendeleo baina ya Nchi hizo mbili!
 
Waandazimu ni kufanya jambo lile lile miaka nenda miaka rudi na kutegemea matokeo tofauti. Serikali mbili ni kuendeleza kero za muungano.
 
Rafiki zangu wa Zanzibar ambao majina yao nayahifadhi wote hawautaki muungano sababu ni kwamba cc Tanganyika tunawanyonya sana na wanataka kutambulika ktk dunia kuwa Zanzibar ni nchi. Jamani tuachane nao hawa kwani wanasaiia nn labda ccm watueleze

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…