S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 85
SHEIN FOR PRESIDENT
si mla rushwa
hana makuu
ni mpole
msomi
hachanganyi kazi na masuala ya serikali
huyu ananikumbusha mzee IDRISSA ABDUL WAKIL
Wakti mwingine ni vizuri tukawa na utani na tunacheka, inasaidia kiafya.
Hii ni budi mheshimiwa VP aelewe.