Siri ya SHEIN

Najua watanzania wengi tulifurahi kwa shangwe na vigeregere but is dr.asha rose migiro= shein

in terms of their power in their respective jobs??
http://haki-hakingowi.blogspot.com/2008/05/dr-asha-rose-migiro.html#comments

pernally naona migiro wamemaliza politically walimpomchukua UN...her ship has sank kwenye politics za bongo za sasa...
wanawake mpo lakini au you didnt really look at it from this angle??
 
kweli huyu amepinda!! Agakhan amegeuka nyama ya ng'ombe??? Mkuu isije kuwa kijana amepatwa na celebral malaria...msaidieni
 


Vice president Dr Ali Mohamed Shein admires a lion at the Ministry of Natural Resources and Tourism pavilion at the 32nd DITF in Dar es Salaam today. (Photo by Bernad Rwebangira) - Daily News.
 
Swali la leo:

Rais anatoka BAGAMOYO

Makamu anatoka PEMBA

Waziri Mkuu anatoka SUMBAWANGA

Katibu Mkuu ( CCM ) anatoka TANGA

Ukitaka kuwaroga uende wapi?

Simple!
Uchawi wote Tanzania watu hawajui bila sababu. Unatoka wapi? Kitovu ya uchawi Tanzania ni KIGOMA. Hata waTanga walipatia huko baada ya watu wa KIGOMA kupelekwa na uchawi wao katika mashamba ya mikonge/katani TANGA enzi za ukoloni, na hata SUMBAWANGA waligawiwa kiduchu kutoka KIGOMA, na BAGAMOYO ni katika enzi hizo hizo za utumwa/ukoloni walipelekwa watu wa KIGOMA huko BAGAMOYO na PEMBA na kwingineko unakojua weye. Hapa ni KIGOMA tu ukitaka kuwaroga/kuwaloga hawa. Aaah tena mbona cha mtoto tu eti bagamoyo, pemba, tanga, sumbawanga. Msitanie tena hawana haja na promo ya uchawi wao. Hawa wengine wamepewa kiduuuuchu. Aanyebisha abishe sasa au akae kimya milele.
 
Swali la leo:

Rais anatoka BAGAMOYO

Makamu anatoka PEMBA

Waziri Mkuu anatoka SUMBAWANGA

Katibu Mkuu ( CCM ) anatoka TANGA

Ukitaka kuwaroga uende wapi?

Mtu akitaka kuwaroga atakuja kwenu maana nyie Wajita/Wakurya ni wachawi wa kuzimu.
 
Hivi huyu jamaa alikuwa ni chaguo la JK 2005 katika hiyo post au kamati kuu ilimchagulia JK, kwa wale waliofuatilia mchakato ule dodoma 2005, Baada ya kura kuhesabiwa na JK kuibuka CCM Nominee, Mkapa aliposema Sasa kamati kuu inaenda kukutana kutoa jina la makamu wa rais, sura ya JK ilibadilika kama mtu aliyepigwa butwaa vile.

My take:
Mi nafikiri wanamtandao walikuwa na mtu wao kwa post hii, na ndiyo maana huyu VP wetu amepewa role ya ajabu ajabu, wanasema akufukuzae hakwambii toka, ukiona kwenye mechi wenzako hawakupi pasi basi ujue wanakuona huwezi kumiliki mpira. Huyu Sheni hiki nafikiri kitakuwa kipindi chake cha mwisho 2010 atajiuzulu na muungwana atachagua mtu mwingine.
 

2010 atateuliwa Shamsi Vuai Nahodha kuwa makamu wa Raisi wa Tanzania.
 
2010 atateuliwa Shamsi Vuai Nahodha kuwa makamu wa Raisi wa Tanzania.

Kwa nini asiwe Shamhuna?, nafikiri atachukua shamhuna maana ndiyo anaonekana ni chokochoko cha muungano na njia pekee ni kumpa post kama hiyo kumtuliza.
 
Kwa nini asiwe Shamhuna?, nafikiri atachukua shamhuna maana ndiyo anaonekana ni chokochoko cha muungano na njia pekee ni kumpa post kama hiyo kumtuliza.
Shamhuna anataka kiti cha Zenj...Hata hivyo upepo bado kuwa upande wake
 
VP atakuwa jamaa anaitwa KOMBO MAKAME MWINYIUSI, jamaa vere potenshoo!!!
 
2010 atateuliwa Shamsi Vuai Nahodha kuwa makamu wa Raisi wa Tanzania.

Hakuna shaka lakuvunda halina ubani Jee wachangia mada mmnajuwa maana ya ngombe kutiwa shemere nawaachieni fumbo hilo
 
Last edited:
Yuko busy anakagua nyanya...Shein bwana is a Character

believe me huyu ndie anaeijua nchi when you talk about Tanzanian citizen ndio hao anaomingo nao na wala si wenye migodi, Kwa Bush au local leaders, mi nadhani atatusaidia sana huyu baba tafadhali dr slaa usimsahau huyu kwenye baraza lako la Mawaziri maana kama suala la MKUKUTA yeye ndo wenyewe.. au mnataka wale ambao hakujua kama tanzania kuna umasikini mpaka alipoenda Havard University
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…