Me ninachofahamu, pweza hasolve tatizo la nguvu za kiime. Ukiona mtu kala pweza af performance yake imekua nzr sn, huyo hana tatizo la nguvu za kiume. Ila alipoteza msisimko wa mapenzi hcho kitu hata wanawake kinawapata sema kwakua wao kaz yso ni kutanua miguu hvyo halionekan kwa urahisi, ndo maana hata wao pia wanapanga folen na ni mashuhuda kuwa wanaenjoy. Karanga pia inaongeza ejaculation na hisia kwa wote wanaume na wanawake, so mwanamke nae akila karanga inakua ni balaa. Dawa pekee ninayoifahamu mm na matokeo yake huonekana muda mfupi baada na kutumia ni Asali mbichi, hii huongeza na pengine kutibu kabisa tatizo la nguvu za kiume hasa kwa wale athiriwa na vyakula au punyeto. Mwanaume yeyote rijali akiamka asubuh lazima udindishe 90 degrees au km hukulala na chupi lazma inyanyue shuka. Hivyo kwa kutumia asali km nisehemu ya mlo kila cku, zinaanza kurudi taratibu pengine kuisha kabisa. Nakubaliana na waliotangulia kua natural foods ni dawa pamoja na matunda karibu yote tu japo mengine hatujui lkn hiyo ni kaz ya watafiti sisi kaz yetu ni kula, mf mboga za majani, matunda, nuts, mizizi, wanyama wa baharini na maji mengne, maziwa, asali na wadudu. So kula pweza sio vibaya sema kwakuwa watu hawajui kuwa wanapaswa kutumia vrutubisho mbali mbali ndo maana wamekomaa na pweza. Nguvu za kiume mara nyingi hata km utakunywa hiyo supu, utakuwa na nyege sana lkn perfomance itakua poor, yani hawezi kuendelea na round zingine. Na wengine huzaliwa nalo hilo tatizo au wangine hulogwa, hili la kulogwa unaweza usisimamishe kabisa hata mwanamke akivua hapo. Au inaweza ikawa ugonjwa ktk viungo vya uzazi lkn unaweza ukatibiwa hosptl wakijua nin kinasababisha, mf upungufu wa baadhi ya hormon za kiume etc.
Mwisho: Nguvu km unazo, unazo tu na km hauna hauna tu ni swala la matibabu kwa aliye na hilo tatizo na dieti yenye virutubisho vyote vinavyo hitajika na mwili kwa watu wanao kosa misisimko wkt wa tendo.