Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,245
Kulinda jina la Mzee wakeNi kweli, nakumbuka siku ya mazishi ya mama ilitumwa thread ambayo ilikuwa inaonyesha pale nyumbani kwa marehemu mama yake, Mods waliifuta haraka sana kwa kuwa kahouse kalikuwa ka kawaida mnoooo
mbona wote wazee hapo.Huyo jamaa anapenda sana kukaa na mabinti sijui anamatatizo gan?View attachment 368506
Le fiancée ndo huyo kumbe, anabeba uzito wa fuso tehHahahaha uknw le fiancee.. Sasa sijui kwanini hakwenda na mchumba hadi ana lala peke yake kwenye likitanda likubwa namna hiyo.. View attachment 368652
HahahahaLe fiancée ndo huyo kumbe, anabeba uzito wa fuso teh
mambo haya yanachanganya sana. kuna daktari mmoja aliwahi kuniambia ukitaka kujua kuwa una maradhi ya presha au sukari tazama kiganja au unyayo wako utaona madoti doti mengi.. we unasema le mutuzi ana akili sana😕😕😕😕😕😕!!!!
Je ni tangazo la biashara la hiyo Hoteli ya Shabiby?Amini usiamini siri ya mafanikio ya le akili kubwazz imejulikana leo baada ya kupost picha kiwa ze dodomaz katika harakati za kumkabidhiz chamaz mr pombe
Ni kidoti kilichopo unyayoni ambacho wataalamu wa elimu nyota wanakuambia ni alama ya magenius yaani akili kubwaaz
Hali hiyo iliwafanya ma fans wa ze king of sosho midia kuuliza miguu vepeeee??yaani walikuwa wa me decode siri flani amazing.
Cheeers
View attachment 368296
Hakuna hata binti hapo kwenye picha wote ni akina mama wakubwa tu.
Hakuna hata binti hapo kwenye picha wote ni akina mama wakubwa tu.
View attachment 368469 mshua naye msela kavaa herini
Mkuu Kuna watu wanatumika tu, wenyewe wanajiita wapambe, chochote kinachofanyika hata kama cha kijinga wao husifia tu.Acheni kufananisha U-Genius na vitu vya kij.ngaj.nga
Mkuu Kuna watu wanatumika tu, wenyewe wanajiita wapambe, chochote kinachofanyika hata kama cha kijinga wao husifia tu.Acheni kufananisha U-Genius na vitu vya kij.ngaj.nga
makubwa hayo!View attachment 368963hahaaaahaha