GEOAFRICA
Member
- Jan 30, 2019
- 14
- 11
HELLO!
Leo naomba tusaidiane suala moja, ni ukweli usio pingika kuwa ujasiriamali ni jambo ambalo linaweza kuokoa vijana katika tatizo hili la ukosefu wa ajira lakini kibaya ni kwamba vijana wengi hawana elimu zaidi juu ya ujasiriamali. elimu kama vile
1. ujasiriamali ni nini
2. sifa za ujasiriamali
3. tofauti kati ya mfanyabiashara na mjasiriamali
4. jinsi ya kuwa mjasiriamali
5. msaada unaotolewa na serikali kwa wajasiliamali
tusaidie vijana wetu kwa kuwapa majibu ya hayo maswali
Leo naomba tusaidiane suala moja, ni ukweli usio pingika kuwa ujasiriamali ni jambo ambalo linaweza kuokoa vijana katika tatizo hili la ukosefu wa ajira lakini kibaya ni kwamba vijana wengi hawana elimu zaidi juu ya ujasiriamali. elimu kama vile
1. ujasiriamali ni nini
2. sifa za ujasiriamali
3. tofauti kati ya mfanyabiashara na mjasiriamali
4. jinsi ya kuwa mjasiriamali
5. msaada unaotolewa na serikali kwa wajasiliamali
tusaidie vijana wetu kwa kuwapa majibu ya hayo maswali