Siri ya Vyura wa Kihansi kutunzwa Marekani

Umeelezea vizuri lakini sidhani kama kwa Tanzania nzima ambako ndio Asili ya hao viumbe ikosekane kabisa mahali pa kuwahamishia na kufanyia project zao za kitafiti mpaka wakaone USA ndio mahali sahihi
Hivi ni lini mzungu akawa na mapenzi na Afrika? Mzungu hakuna kitu atafanya bila maslahi.. Ameona kwenye vyura kuna maslahi ndio maana akaamua kuwekeza kwao na si kwamba anatupenda sana
 
Of course yeye akifanya utafiti credit inakwenda kwake moja kwa moja na anaongeza ujuzi na maarifa yeye.

Hakuna mapenzi kutoka kwa mzungu lakini sisi ndiyo hatujipendi kwani kama nchi hatuwekezi kwenye utafiti wa kina ambao ndiyo unaleta maendeleo katika kila nyanja.

Nakuhakikishia kwamba laiti wangehamishwa kienyeji tu basi saa hizi tungekuwa tunasema RIP Kihansi Spray Toad.
 
Nikiwaza vijana wanavyo teseka mtaan chura wanapeta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…