lucky sabasaba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,656
- 1,204
Kwa wafanyabiashara wengi wanaosafiri na kuingiza mzigo hapa nchini uwa wana siri moja...USHIRIKIANO..wanaposafiri pamoja wengi ufikia hotel moja na chumba kimoja(sehemu kama Dubai..China..Thailand nk)uwa kuna hotel maalumu kwa wafanyabiashara ambapo chumba kimoja uwa na vitanda kama viwili au vinne kwa ajiri ya ku share..mfano dubai chumba cha bei ya chini ni tsh 150000/kwa usiku mmoja hivyo kama mpo watatu ina maana mtalipa 50,000/ kwa siku nadhani kwenye sehemu ya kulala nimeeleweka.
Kwa upande wa kununua mzigo kila mtu ananunua kivyake lakini kumbuka ushirikiano mzuri uwa kwa wale wanaofanya biz ya aina moja maana wakienda sehemu kununua mzigo mkubwa bei upungua sana wanauziwa bei ya kiwandani..sasa baada ya kununua mzigo inafata issue ya kuutuma kumbuka ukiwa peke yako sana sana utanunua mzigo wa kutosha maboksi sita sasa kwenye meli watapima ukubwa wa mzigo wako(CBM) gharama itakuja $900 lakini kwakuwa mpo watatu mtataka container ili container hulinunui yule anayekutumia mzigo atakupatia na utaliacha bandarini pindi mzigo wako ukifika..
Sasa gharama ya container lenye futi 20 toka dubai mpaka dar ni $2100 sasa kwakuwa mpo watatu itakuwa $700..faida ya kuchukua container ni kwamba gharama ni ndogo..usalama ni mkubwa..utoaji wake bandarini dar ni rahisi maana halichelewi kama mzigo utaoweka kwenye boksi nia ushuru wake utakuw chini..TRA wakitoa gharama ya kodi ya mzigo ktk container kuwa ni milioni 3 maana yake mtachanga na kila mmoja wenu atatoa 1ml..
Vijana wa wahindi na wanaigeria wanaungana na wanafanya hivi..ukishakuwa kwenye kundi ata la vijana watatu mlio serious kufanikiwa ni rahisi ..baada ya mtaji kuwa mkubwa sana kila mmoja atakuwa na uwezo wa kujisimamia kivyake ..ni hesabu ileile aliyofanya mwanamziki beyonce alikuwa kwenye kundi la destiny child alipokomaa na kupata exp akaanzisha biz yake..vilevile michael jackson etc...baada ya mzigo kutoka bandarini kila mtu atachukua mzigo wake na kutafuta soko kivyake..
Ndio maana unaona mfano watu wanaokwenda china kufuata nguo,nguo zao wanazokujakuuza nyingi ufanana maana wanakwenda pamoja na kununua sehemu moja..kiufupi ni kwamba wame share gharama za hotel..gharama za kusafirisha mzigo..gharama za ushuru bandarini..juzi kuna mtu aliandika hapa JF kuwa anaomba advice anataka kwenda china kuleta nguo za biz..ni lazima ujue soko zuri la nguo China lipo wapi..hoteli za kufikia za bei rahisi ni wapi..cargo rahisi ya kutumia mzigo utaonunua nk..lakini si vibaya uungane na wazoefu..vijana muungane mtafanikiwa +971504374387 dubai
Kwa upande wa kununua mzigo kila mtu ananunua kivyake lakini kumbuka ushirikiano mzuri uwa kwa wale wanaofanya biz ya aina moja maana wakienda sehemu kununua mzigo mkubwa bei upungua sana wanauziwa bei ya kiwandani..sasa baada ya kununua mzigo inafata issue ya kuutuma kumbuka ukiwa peke yako sana sana utanunua mzigo wa kutosha maboksi sita sasa kwenye meli watapima ukubwa wa mzigo wako(CBM) gharama itakuja $900 lakini kwakuwa mpo watatu mtataka container ili container hulinunui yule anayekutumia mzigo atakupatia na utaliacha bandarini pindi mzigo wako ukifika..
Sasa gharama ya container lenye futi 20 toka dubai mpaka dar ni $2100 sasa kwakuwa mpo watatu itakuwa $700..faida ya kuchukua container ni kwamba gharama ni ndogo..usalama ni mkubwa..utoaji wake bandarini dar ni rahisi maana halichelewi kama mzigo utaoweka kwenye boksi nia ushuru wake utakuw chini..TRA wakitoa gharama ya kodi ya mzigo ktk container kuwa ni milioni 3 maana yake mtachanga na kila mmoja wenu atatoa 1ml..
Vijana wa wahindi na wanaigeria wanaungana na wanafanya hivi..ukishakuwa kwenye kundi ata la vijana watatu mlio serious kufanikiwa ni rahisi ..baada ya mtaji kuwa mkubwa sana kila mmoja atakuwa na uwezo wa kujisimamia kivyake ..ni hesabu ileile aliyofanya mwanamziki beyonce alikuwa kwenye kundi la destiny child alipokomaa na kupata exp akaanzisha biz yake..vilevile michael jackson etc...baada ya mzigo kutoka bandarini kila mtu atachukua mzigo wake na kutafuta soko kivyake..
Ndio maana unaona mfano watu wanaokwenda china kufuata nguo,nguo zao wanazokujakuuza nyingi ufanana maana wanakwenda pamoja na kununua sehemu moja..kiufupi ni kwamba wame share gharama za hotel..gharama za kusafirisha mzigo..gharama za ushuru bandarini..juzi kuna mtu aliandika hapa JF kuwa anaomba advice anataka kwenda china kuleta nguo za biz..ni lazima ujue soko zuri la nguo China lipo wapi..hoteli za kufikia za bei rahisi ni wapi..cargo rahisi ya kutumia mzigo utaonunua nk..lakini si vibaya uungane na wazoefu..vijana muungane mtafanikiwa +971504374387 dubai