Siri ya Wakenye kuendelea kukumbatia Corona yabainika

Siri ya Wakenye kuendelea kukumbatia Corona yabainika

Stayfar

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2016
Posts
1,088
Reaction score
2,287
Imebainika viongozi wa kenya kuendelea kuidanganya Dunia kwa kutangaza idadi ya wenye Corona,nia ni kupata misaada toka kwa wakoloni halafu misaada hiyo haiwafikii waathirika,bali inaenda kwa viongozi ambao hufanya ufisadi kwa kuviuza vifaa vya corona,na pesa wanatia mifukoni.Nyie viongozi wa Kenya Mungu anawaona.
 
Mkuu embu achana na hayo""
Subili oct 28...
 
Back
Top Bottom