macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Wanabodi salama?
Kumbe yanayoendelea nyuma ya pazia ndani ya CCM ni makubwa na yanaogofya. Kumbe hata Dkt. Bashiru yalishamshinda kufanya kazi na Magufuli na alitaka kujiuzulu?
Huu uchaguzi una mengi yaliyojificha nyuma ya pazia na ambayo yanaweza kuwashangaza watu matokeo yakitoka. Kama una muda na wasaa sikiliza haya mahojiano, (fungua link ya hiyo thread) yana mengi.
Vinginevyo jaribu kusikiliza kuanzia dakika ya 21 utagundua kitu.
Bernard Membe: Ni uchaguzi wa kishindo
Kumbe yanayoendelea nyuma ya pazia ndani ya CCM ni makubwa na yanaogofya. Kumbe hata Dkt. Bashiru yalishamshinda kufanya kazi na Magufuli na alitaka kujiuzulu?
Huu uchaguzi una mengi yaliyojificha nyuma ya pazia na ambayo yanaweza kuwashangaza watu matokeo yakitoka. Kama una muda na wasaa sikiliza haya mahojiano, (fungua link ya hiyo thread) yana mengi.
Vinginevyo jaribu kusikiliza kuanzia dakika ya 21 utagundua kitu.
Bernard Membe: Ni uchaguzi wa kishindo