macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mbona member anapaa tuuUmeamua kutumia Jina la Dr Bashiru kumpaisha mtu wako Membe.. Niguse ninuke badala yake mnanukia.
Hili haliwezi kumpaisha Membe hata kidogo.Umeamua kutumia Jina la Dr Bashiru kumpaisha mtu wako Membe.. Niguse ninuke badala yake mnanukia.
Umesikiliza hiyo clip?Umeamua kutumia Jina la Dr Bashiru kumpaisha mtu wako Membe.. Niguse ninuke badala yake mnanukia.
Mbona member anapaa tuu
Wanabodi salama?
Kumbe yanayoendelea nyuma ya pazia ndani ya CCM ni makubwa na yanaogofya. Kumbe hata Dkt. Bashiru yalishamshinda kufanya kazi na Magufuli na alitaka kujiuzulu?
Huu uchaguzi una mengi yaliyojificha nyuma ya pazia na ambayo yanaweza kuwashangaza watu matokeo yakitoka. Kama una muda na wasaa sikiliza haya mahojiano, (fungua link ya hiyo thread) yana mengi.
Vinginevyo jaribu kusikiliza kuanzia dakika ya 21 utagundua kitu.
Sikuwahi kushuhudia mwanasiasa bogus kama huyu.Anajifanya yuko fasaha na kwamba anakuja na jipya kwa watanzania lakini matokeo yake tuliyaona kwenye uchaguzi mkuu.Mbwembwe nyingi halafu akatoweka.Ikadaiwa yupo busy na kuandaa baraza la mawaziri.Kwa kweli Membe uli 'bore' .
Bernard Membe: Ni uchaguzi wa kishindo
Nimecheka hadi nimepaliwa. Hivi ni kweli Mzee wa Ubwabwa ni maarufu kuliko Mzee wa niguse ninuke?Umeamua kutumia Jina la Dr Bashiru kumpaisha mtu wako Membe.. Niguse ninuke badala yake mnanukia.
Habari ndio hiyo.Nimecheka hadi nimepaliwa. Hivi ni kweli Mzee wa Ubwabwa ni maarufu kuliko Mzee wa niguse ninuke?