The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 822
- 2,095
Wachezaji wa Yanga wamesema waligoma kufanya mazoezi ili kumuonyesha kocha hasira zao baada ya kumtimua Kanavaro.
Wamesema walikuwa na uwezo wa kuvumila matatizo ya klabu ila walichokataa ni Mwinyi kujigeuza Mungu mtu katika klabu hiyo.
Wamemvumilia kuwafanya Kama watoto wa Shule ya msingi na Kama amewakamata mashabiki na viongozi wa klabu hiyo wao hawatakubali kufanywa Kama misukule.
Aidha nyuma ya pazia Kuna tetesi nyuma ya wachezaji Kuna kundi la wanachama wa klabu hiyo wanaojitambua na kutambua thamani ya klabu yao.
Na ndio waliowashawishi wachezaji wagome ili kuhakikisha kocha huyo anaondoka wajenge klabu yao upya.
Wanachama hao wanasema ni bora Yanga ipoteze kila kitu msimu huu ila irudi mikononi mwao na sio kumwachia kila kitu mcongoman huyo.
Wachezaji wametumiwa Kama chambo tu Ila nyuma yao kuna kundi kubwa nyuma yao ambalo linaona klabu yao imeporwa na mkongoman huyo anayeongea Sana na vyombo vya habari.
Aidha wanachama hao wametamka bayana Kama Kuna chochote kocha huyo anaidai klabu akatafute aliyemkopesha amdai ila wao hawatambui deni lolote ambalo aliikopesha klabu.
Hivyo hawako tayari kumlipa chochote kwani hawana mkataba wa kukopeshwa na mwajiriwa wa klabu. Tunachoweza kuzungumzia ni mshahara wake tu. Hayo mengine sisi hayatuhusu.
Wamesema walikuwa na uwezo wa kuvumila matatizo ya klabu ila walichokataa ni Mwinyi kujigeuza Mungu mtu katika klabu hiyo.
Wamemvumilia kuwafanya Kama watoto wa Shule ya msingi na Kama amewakamata mashabiki na viongozi wa klabu hiyo wao hawatakubali kufanywa Kama misukule.
Aidha nyuma ya pazia Kuna tetesi nyuma ya wachezaji Kuna kundi la wanachama wa klabu hiyo wanaojitambua na kutambua thamani ya klabu yao.
Na ndio waliowashawishi wachezaji wagome ili kuhakikisha kocha huyo anaondoka wajenge klabu yao upya.
Wanachama hao wanasema ni bora Yanga ipoteze kila kitu msimu huu ila irudi mikononi mwao na sio kumwachia kila kitu mcongoman huyo.
Wachezaji wametumiwa Kama chambo tu Ila nyuma yao kuna kundi kubwa nyuma yao ambalo linaona klabu yao imeporwa na mkongoman huyo anayeongea Sana na vyombo vya habari.
Aidha wanachama hao wametamka bayana Kama Kuna chochote kocha huyo anaidai klabu akatafute aliyemkopesha amdai ila wao hawatambui deni lolote ambalo aliikopesha klabu.
Hivyo hawako tayari kumlipa chochote kwani hawana mkataba wa kukopeshwa na mwajiriwa wa klabu. Tunachoweza kuzungumzia ni mshahara wake tu. Hayo mengine sisi hayatuhusu.