Siri za CHUMBANI/FARAGA shosti/mshikaji Zinawahusu nini???

utasikia Kokudo bwana akiwa anakuja na kimba juu au lile shosti ukienda chumvini linacheka kama linaangalia original komedi:lol:
Shosti cjakuelewa hapa hata kdg.nigagadulie chidogo.
 
huaelewa nini kokudo mbona wantia aibu,nambie nikufafanulie swahiba
Nikiona aibu ntakua celewi ki2 anyway hapo kwenye kimba juu,na chumvini umeniacha shosti
 
Ni tabia mbaya sana Kokudo nafurahi umeliongelea hili....watu wanamwaga siri kwa watu ambao hawawezi hata kuwasaidia.....na wengine wanasema ili mradi wakionekana na wanawake/wanaume wengine ionekane sawa kutokana na sababu wanazotoa.siamini kabisa kuwa kuna majibu au solutions kwa mtu kwenda kusema sema ovyo maeneo ya public kama hayo.at least kuna wazazi au ndugu wa karibu au hata rafiki wanaoweza kuwa wa msaada lakini si saluni au kijiweni.....big up sana kulisema hili!
 
Asante michele jamani umepotea wewe ulikwenda kuangalia maendeleo ya mazao?
 
Asante michele jamani umepotea wewe ulikwenda kuangalia maendeleo ya mazao?
 
Sijambo michele duh kwa bibi tena?mbona ukupita home wkt ni pua na mdomo?


sikujua wangu....itabidi uniambie vizuri....nikipona nitawaleta ndugu zangu,twaweza pitia tukusalimu,,,,thanks!:hug:
 
sikujua wangu....itabidi uniambie vizuri....nikipona nitawaleta ndugu zangu,twaweza pitia tukusalimu,,,,thanks!:hug:
Muwahi au mtegee kpnd cha kuvna mpunga ok
 
Wengine wamezaliwa wamekuta family zao wako hivo wanarithi kwa makaka zao, maana story zinakuwa vyumbani na wadogo nao wanasikia wakikua na wao wanaendeleza, ni ushamba fulani hivi sijui wanapata raha gani
 
unaonaeee ndio maana nimekaa kimya...maana naweza pata ban hapa kukuza watoto.
Sasa mtoto nani mbona mwafinyafinya mambo weka wazi.nshasema mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio.
 
Jamani kama unajisikia umeshiba acha kula ucje vimbiwa uka2pa taabu kwa mashuzi yako.umeisoma?
 
Sasa mtoto nani mbona mwafinyafinya mambo weka wazi.nshasema mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio.

Nasikia hata wanawake wanafungwa kwa kubaka kokudo hasa hasa hapa jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…