kabisa huu ndo ukweli wenyewe1.UTAPELI/SCAMMS.
2.WIZI/UJAMBAZI.
3.MADAWA YA KULEVYA
4.NYARA ZA SERIKALI.
5.RUSHWA.
6.UFISADI.
7.DHULUMAT.
8.KURITHI/INHERITANCE.
Hizo ni baadhi ya siri za utajiri.
haina haja ya kwenda huko kwani nchi yetu imejitosheleza kwa kila namna!!Zaman nilitama sana kuzamia nje ya Nchi hasa Sweeden but nikaja gunduwa kuna watu hapa Tz wanaishi maisha mazur kulikonhata huyo Msweedish mwenyewe.
Nafkir chamsingi ni kuweka sawa miradi yako ikuingizie fedha bila ya wewe kuhusika moja kwa moja.
Ukifanikiwa hivyo hata wewe utakuwa na maisha mazur tuu.
Note: % kubwa wanaoenda nje ninkwa ajili ya kutafuta maisha MAZAUR TUU na wachache sana kwa ajili ya kutembea na kusoma
Unajitahidi Sana kuvunja mioyo wenzako haya tutajie vitu unavyomiliki ili ufahamike unaakili nyingi kuliko mtoa Madabahati mbaya wahandishi wa hizi porojo wengi wao huwa hata sio wajasiliamali na hawana biashara hata moja.
hizi sizo ndizo kwani ulizo zitaja zote nahisi ni mambo ambayo yanafanywa na watu kinyume na sheria za nchi kwa kutumia nguvu au nyadhifa walizonazo vibaya. lakini tunaposema mtu frani ni tajiri cha kwanza tunaangalia utambulisho wake katika ulimwengu wa biashara na je amekuwa mbunifu? na ubunifu wake ni wa haki!? huyo basi tunasema yeye anazijua siri za utajiri!!! nasiyo kuwa mwizi alafu useme wewe unajua kutengeneza pesa hapana hatuendi hivyo kwenye ulimwengu huu!!kabisa huu ndo ukweli wenyewe
Siku zote huwa naamini utajiri ni jambo la siri,matajiri wengi ukiwauliza "ulifanyeje mpaka ukawa tajiri" hapo atakwambia "haaaaaaa ni kujituma tu" lkn,kuna mambo aliyoyafanya ambayo ni zaidi ya kujituma!1.UTAPELI/SCAMMS.
2.WIZI/UJAMBAZI.
3.MADAWA YA KULEVYA
4.NYARA ZA SERIKALI.
5.RUSHWA.
6.UFISADI.
7.DHULUMAT.
8.KURITHI/INHERITANCE.
Hizo ni baadhi ya siri za utajiri.
nikweri hawezi kukupa ndo maana kuna watu wanafanya kazi mchana na usiku je kama ni kujituma kwanini wasiweze kuwa matajiri hawa watu!? lakini kuna siri ambazo Mimi nimezipata nitadondosha moja baada ya nyingine we endelea kuwa namimi hatua hadi hatua hakika kama utazitumia zitakutoa we nifate Mimi!Siku zote huwa naamini utajiri ni jambo la siri,matajiri wengi ukiwauliza "ulifanyeje mpaka ukawa tajiri" hapo atakwambia "haaaaaaa ni kujituma tu" lkn,kuna mambo aliyoyafanya ambayo ni zaidi ya kujituma!
Thank you Brother!nikweri hawezi kukupa ndo maana kuna watu wanafanya kazi mchana na usiku je kama ni kujituma kwanini wasiweze kuwa matajiri hawa watu!? lakini kuna siri ambazo Mimi nimezipata nitadondosha moja baada ya nyingine we endelea kuwa namimi hatua hadi hatua hakika kama utazitumia zitakutoa we nifate Mimi!
si kweri!!!jamani tuwapotoshe watu jamani wakaenda kuzitumia alafu zikawaghalimu maisha yao bure adhabu tutaipata kwani huwa sio vizuri kuipotosha jamii katika mambo kama haya!!1.UTAPELI/SCAMMS.
2.WIZI/UJAMBAZI.
3.MADAWA YA KULEVYA
4.NYARA ZA SERIKALI.
5.RUSHWA.
6.UFISADI.
7.DHULUMAT.
8.KURITHI/INHERITANCE.
Hizo ni baadhi ya siri za utajiri.
ww ndo unasema!!Unajitahidi Sana kuvunja mioyo wenzako haya
namiliki kitanda tu mkuu.tutajie vitu unavyomiliki ili ufahamike unaakili nyingi kuliko mtoa Mada
it's just a way of making a large gap of distinction between Rich people and the poor one. the rich use it so that they accumulate more customers for their product they produce in their investments.kwahiyo ukiufuata huo mtazamo utabakia kuwa umefumbwa macho na utakufa ukiwa kama ulivozaliwa!!Hela hizi lolView attachment 827642
utajiri ni uwanda mpana Mkuu ndo maana nikasema usiniamini kwa kile ninacho kisema ila kichukue ukaongezee na ujuzi wako huenda tukapata kitu kizuri zaidi tuweze kusonga mbele.kwa uandishi huo hio sio siri tena ya utajiri...siri ya utajiri ni neno moja tu...tena la siri
Wewe umejuaje?nikweri hawezi kukupa ndo maana kuna watu wanafanya kazi mchana na usiku je kama ni kujituma kwanini wasiweze kuwa matajiri hawa watu!? lakini kuna siri ambazo Mimi nimezipata nitadondosha moja baada ya nyingine we endelea kuwa namimi hatua hadi hatua hakika kama utazitumia zitakutoa we nifate Mimi!