Tetesi: Siri za Vurugu Ya Jana CUF yafichuka

Tetesi: Siri za Vurugu Ya Jana CUF yafichuka

Mzee_Wa_Conspiracy

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2014
Posts
667
Reaction score
352
Miongoni mwa siri tulizozipata leo kutokana na vurugu zilizotokea jana kuwa Lipumba alitakiwa kurudi kuwa mwenyekiti na kumrushia Zengwe Maalim Seif ili afukuzwe ukatibu wa chama na yeye kufanya kazi aliotumwa na SMZ.
Smz ilitoa fedha nyingi sana huku ikimtumia Hamad Rashid kwa ajili ya kuivuruga CUF.

Moja ya kazi ya Lipumba ni kumzulia uongo Seif Sharif ili atolewe nafasi ya ukatibu mkuu na nafasi hio ibakie wazi hadi 2019, Huku akimchagua Mussa Haji kuwa makamo wake na Mnyaa kuwa naibu katibu mkuu kwa apande wa zanzibar.

Lipumba akiwa na mtu wa ndani wa chama Kambaya na wengineo waliwapa fedha nono baadhi ya wajumbe ili wamrudishe kuwa Mwenyekiti na huku nyenginezo wakionekana wakipewa askari waliosaidia jana usiku.
Maaskari waliofanya kazi ya kuwaruhusu vijana wahuni wafanye vurugu katika mkutano mkuu wakionekana wakigawana 80,000 baada ya kazi kufanyika.

Siri nyengine iliyofichuka ni kuwa Lipumba baada ya kuupata Uenyekiti wake alitakiwa atangaze kuwa anamtambua Shein kuwa Rais wa Zanzibar na CUF kupewa nafasi mbili za uwaziri ili irudi katika serikali ya mseto.

Kwa upande wa Zanzibar wanaojulikana wakifanya uharamia huu jana usiku ni:
Mussa Haji
Mnyaa
Rukia (aliwahi kuwa mbunge kutoka pemba)
Haroub
 
Majizi Chadema ndicho walichobakiza ,kuosha miguu ya Mafisadi.

Shame to them
 
MASIKIO YANGU KWA SASA YANASIKIA UKUTA TU,PROPAGANDA PEMBENI KWANZA
UKUTA KWANGU NI KAMA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA JANA NILIVYOHAMASIKA
#NikoTayariKwaUKUTA sep 1.
 
Ni ngumu sana kwa siasa za upinzani kukishinda chama kinachoshika dola katika uchaguzi wowote nchi hii
 
Mada moto, channel ten, leo zitapigwa kavu kavu. Mjadala ni yaliyojiri mkutano mkuu wa CUF
 
Mbona hamueleweki, mtatiro anatoa sababu zake, yericko sababu zake, Kuna mjumbe mmoja Mwana mama kazungumzia Seif ndio tatizo, alileta wajumbe wengi kutaka Zanzibar ambao sio halali
 
Ila Lipumba ni amekosa aibu...
Sema wanadamu tuko na courage tofauti.

Nashindwa kuiweka akilini, yaani Lipumba bila aibu bado anataka uenyekiti!

May be am too naive.
 
Majizi Chadema ndicho walichobakiza ,kuosha miguu ya Mafisadi.

Shame to them


Sure mkuu lakini nadhani umekosea namba. Chadema wao wanasuka UKUTA wao, hawataki kupoteza nguvu kwa mapandikizi yalowekwa kuudhoofisha umoja. Pelekeni lawama kunakostahili nako ni kuleeee ccm waliompa nusu ya ujira ndo maana hakukawia kuzimaliza akarudi kwa miguu
 
Ila Lipumba ni amekosa aibu...
Sema wanadamu tuko na courage tofauti.

Nashindwa kuiweka akilini, yaani Lipumba bila aibu bado anataka uenyekiti!

May be am too naive.
Mkuu Boondocks, mimi mwenyewe napata tabu kidogo kuelewa ni nini Lipumba anataka. Ninatamani kumsikia akizungumza mwenyewe ni nini hasa anataka!
 
Tetesi tu
Prof Lipumba hawezi hata mtikisa Maalim ndani ya CUF! hata yy Prof anajua
 
Ila Lipumba ni amekosa aibu...
Sema wanadamu tuko na courage tofauti.

Nashindwa kuiweka akilini, yaani Lipumba bila aibu bado anataka uenyekiti!

May be am too naive.
Siyo kama HANA aibu bali nadhani Prof ana matatizo ya akili
 
akachezee na kina nape na makonda kucheza na kete za seif sharif ni sawa na ngamia kupenya tundu ya sindano hafanani nae kabisa masikini baba wa taifa hatunae angelimuuliza ni nani seif sharifu hamadi
 
Back
Top Bottom