Siri za wanaume zinazowakera wanawake

Yote tisa! mi kwa upande wangu huwa sipendi mpenzi wangu anidanganye! Hilo kwangu ndo kosa kubwa kwa kuwa najua akinidanganya kuna kitu kingine kisicho chema ndo maana ya yeye kusema uongo.
 

hicho kitabu kizuri sana kinasaidia kujua tabia za wanaume na wanawake at the same time
 
Ngoja nimshirikishe mamsapu wangu hizi tabia zetu. Maana hizi namba 1 & 2. Huwa zinamsumbua sana. Labda atanizoea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…