msisitizo!rekebisha heading kwanza then ntarudi
rekebisha heading kwanza then ntarudi
wee vp bwana?
do u knw the term si ridhiki?
km ndiyo mbona umelitumia visivyo ili neno?
ANDIKA UPYA.
umeona eeeeeeeeeehhii sredi naona imegeuka mtihani wa kiswahili ghafla. dah!
well said, manake mwanzoni nilidhan jamaa si riziki.rekebisha heading kwanza then ntarudi
Kwa harakaharaka tu nilivosoma hii post yako nimegundua ushauri huu ni kwa ajili yako na wala si rafiki yako!!! Pili mkuu hawa mademu wa siku hizi noma, kama ushajaribu kila kitu unachokijua lakini haridhiki, basi kuna kitu ambacho wewe hukijui ukikifanya yeye ndio ataridhika!!! Nakushauri umuache mapema kabla hajakwambia anachokitaka ili aridhike.... na itakuwa ni mapenzi ya kinyume na maumbile tu.... Pole sana mkuu!!!:twitch:
Wana ndg ningeomba ushaur wenu mana ninarafiki yangu anampenz wake wa kike. Nimejaribu kumshaur lakn nimeshndwa labda na nyny mnaweza kunisaidia ili nifikishe kwake ushaur huu. Rafiki yangu ana mpenz wake lakn huyo mpenz wake alimueleza waz jamaa kuwa anampenda sana jamaa ila inapofika katka tendo la ndoa msichana anasema haridhiki na wala hasikii raha. Ila anampenda jamaa na mshkaj kasha2mia njia zote ila bado mpenz wake haridhiki je afanyeje? .Ninaomba 2mshaur na msichana ni mkwel anampenda sana jamaa mana jamaa alitaka kumuacha ila demu akataka kujiuwa je afanyeje? Ushauri wenu plz
Ajaribu side B.