Sirikali yangu haina ajira kwa hiyo mjiajiri wenyewe

kwa uhalisia hakuna ajira za kuwaajiri watanzania wote wanaomaliza vyuo tukubali tusikubali ndiyo ukweli halisi nchi yoyote haiwezi chadema wanaropoka tu kusema ajira zipo hakuna
Tatizo watoto wa viongozi nchi hii wao ajira zipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…