Sirudi tena kona bar.

hivi kunani hapa??
Pamoja na vumbi lakini panapendwa tu.

pako poa sana yani pamechangamka! Unapiga biere zikipanda unashushia na supu ya moto moto + nyama choma saaafi kabisa kama vp leo tujumuike wote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…