Kwenye uamuzi huo, acha tu nikufariji kwa kale ka wimbo ka Bizman kanaitwa NIPE MDA. Jaribu kufananisha na tukio la leoHamasa kibao ila mpira wa hovyo, mimi kama shabiki wa Simba sirudi tena uwanjani kuangalia mechi ni aibu kubwa mno.
Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji mnafanya sajili za hovyo, mdomo mwingi ila uwanjani hovyo kabisa. Heri tumepigwa na Yanga ili viongozi waamke usingizini, tungefungwa hivo na timu nyingine isingekuwa alert.
Timu kubwa ila mfumo wanaocheza haueleweki, hamna rotation ya wachezaji wengine wamezeeka benchi.
Hizo goli 5 wagawane
1.Try Again ,
2.Magungu ,
3. Kajuni ,
4.Ahmed Ally
5.Mo
Simba shida uongozi wa MangungoHamasa kibao ila mpira wa hovyo, mimi kama shabiki wa Simba sirudi tena uwanjani kuangalia mechi ni aibu kubwa mno.
Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji mnafanya sajili za hovyo, mdomo mwingi ila uwanjani hovyo kabisa. Heri tumepigwa na Yanga ili viongozi waamke usingizini, tungefungwa hivo na timu nyingine isingekuwa alert.
Timu kubwa ila mfumo wanaocheza haueleweki, hamna rotation ya wachezaji wengine wamezeeka benchi.
Hizo goli 5 wagawane
1.Try Again ,
2.Magungu ,
3. Kajuni ,
4.Ahmed Ally
5.Mo
We mwenyewe umewatoa kama reference kuwa walipigwa 7.Punguza jaziba mtani ni matokeo Tu.. ni sehemu ya mpira Man u msimu uliopita alipigwa Bao 7-0 Ila Maisha yakaendelea
Pole ila punguza hasira na jazbaHamasa kibao ila mpira wa hovyo, mimi kama shabiki wa Simba sirudi tena uwanjani kuangalia mechi ni aibu kubwa mno.
Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji mnafanya sajili za hovyo, mdomo mwingi ila uwanjani hovyo kabisa. Heri tumepigwa na Yanga ili viongozi waamke usingizini, tungefungwa hivo na timu nyingine isingekuwa alert.
Timu kubwa ila mfumo wanaocheza haueleweki, hamna rotation ya wachezaji wengine wamezeeka benchi.
Hizo goli 5 wagawane
1.Try Again ,
2.Magungu ,
3. Kajuni ,
4.Ahmed Ally
5.Mo
Hakuna shabiki hapa, Man united na vipigo vyao kila siku ila OT kila mechi 75k watu, wewe ni shabiki matokeoHamasa kibao ila mpira wa hovyo, mimi kama shabiki wa Simba sirudi tena uwanjani kuangalia mechi ni aibu kubwa mno.
Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji mnafanya sajili za hovyo, mdomo mwingi ila uwanjani hovyo kabisa. Heri tumepigwa na Yanga ili viongozi waamke usingizini, tungefungwa hivo na timu nyingine isingekuwa alert.
Timu kubwa ila mfumo wanaocheza haueleweki, hamna rotation ya wachezaji wengine wamezeeka benchi.
Hizo goli 5 wagawane
1.Try Again ,
2.Magungu ,
3. Kajuni ,
4.Ahmed Ally
5.Mo