Ni tamaduni tu. Kuna baadhi ya makabila hayohayo ya kifugaji hawali samaki, tena ni marufuku. Lakini haimaanishi samaki ni chakula kibaya!makabila kifugaji hapa Tanzania, waMasai, waBarbaig na wengine wenye asili ya nyama(kufuga), hawali nyama hii tena wengine wamefikia hatua kwamba mnyama huyo akipita kwenye zizi ama nyumba zao wanahama eneohilo.sasa tujiulize ikiwa wenye asili ya ulaji nyama hawaili hiki kito joto kuna siri gani ndani yake?
usi justfy ni tafakuri tuu. pia samaki sio mbuzi.Ni tamaduni tu. Kuna baadhi ya makabila hayohayo ya kifugaji hawali samaki, tena ni marufuku. Lakini haimaanishi samaki ni chakula kibaya!
Ndo unashtuka leo magezeti yakibongo cio kichwa cha habari utakuta DIAMOND KALALA BAR ukifungua ndani unakuta wameandika DIAMOND katoa wimbo mpyaJana nilisoma nakala moja kwenye gazeti kuhusu ulaji wa nyama ya kitimoto na mazara yake!!na mimi nilikuwa mgumu wa kuamini hilo!!sasa leo nimeamua kuchukua maamuzi magumu!!kuanzia leo!!sitakaa nisome tena magazeti!!!...[emoji86] [emoji86]
Uwiiii mkuu hii sahani ya mwisho imeumiza sana roho yangu!!wapi hii asee!![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Na mimi huu ndio mwisho wa kusoma hii thread. nawaacha na mambo haya:
View attachment 396818 View attachment 396819 View attachment 396820 View attachment 396821 View attachment 396822
Ijumaa Karim
Ni nani aliyekuongopea hivyo na ukamwamini?Majini hayapendi kitimoto unless unayafuga.
Watu tunapiga kitimoto for years tunashushia na heinken baridi na tuko bien. [emoji23][emoji23]
Madhara gani uliyoyaona?Sisi ni wabishi kweli kweli, binafsi sili kabisa, nilijitahidi kuwaelimisha wanangu kuhusu madhala ya kula mbuzi Katoloki sina shaka walinielewa.
Cha ajabu hutakula hiyo nyama pendwa lakini kondomu hutumii..Jana nilisoma nakala moja kwenye gazeti kuhusu ulaji wa nyama ya kitimoto na mazara yake!!na mimi nilikuwa mgumu wa kuamini hilo!!sasa leo nimeamua kuchukua maamuzi magumu!!kuanzia leo!!sitakaa nisome tena magazeti!!!...[emoji86] [emoji86]
Madhara gani uliyoyaona?
White meet ile wewe utalinganisha na nyama gani?
Mikwara ya wale wanaozuiwa na sheria za dini huku wanaitaka!
Hahaha ndivyo ilivyo.Ni nani aliyekuongopea hivyo na ukamwamini?