Jamsojamaal
Member
- Jul 13, 2022
- 23
- 6
Teyar mkuuWeka hata picha ya kamba zako
Mkuu napokea mawazo yako na maoni,ili niweze kuboresha hili. AhsanteWatanzania kinachotuangusha mara nyingi sio ugumu wa soko bali ni kwenye kuitangaza biashara yao.....
Unaweza kuwa na bidhaa nzuri lakini unashindwa kuuza kwa kuwa taarifa zako hazijitoshelezi kwa wateja wako
Nitashkuru .Mzigo upo wa kutosha mkuu, nipo kiwandani.Ngoja niulize ulize wadau nitakurudia. Una uwezo wa kusambaza mzigo kias gani Kwa mwez