The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Ubaya ubwela hakuna unyonge
==
Mwenyekiti wa kamati ya Uenezi CHADEMA kanda ya Nyasa, Bruce Nyamwangi akizungumza katika Muendelezo wa kampeni za kuwanadi wagombea wa Chama hicho kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa siku ya kesho 27 Novemba 2024.
Soma pia: CHADEMA yakanusha kujitoa kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024
Chanzo: Nuru FM
==
Mwenyekiti wa kamati ya Uenezi CHADEMA kanda ya Nyasa, Bruce Nyamwangi akizungumza katika Muendelezo wa kampeni za kuwanadi wagombea wa Chama hicho kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa siku ya kesho 27 Novemba 2024.
Soma pia: CHADEMA yakanusha kujitoa kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024
Chanzo: Nuru FM