kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Juzi yanga wakasema wana jambo lao saa tano jana. Ghafla viongozi wote wakatoka mashimoni kujibu kuhusu usajili wa manzoki kumbe wao wapo kwenye mambo yao ya biashara.
Kiujumla viongozi waache vitu vya kuonekana kwenye platform wafanye kazi waache janjajanja hata kama sisi ni mambumbumbu mnatufanya tuonekane hamnazo kichwani sababu yenu.
Nachukia kuitwa kolo
Kiujumla viongozi waache vitu vya kuonekana kwenye platform wafanye kazi waache janjajanja hata kama sisi ni mambumbumbu mnatufanya tuonekane hamnazo kichwani sababu yenu.
Nachukia kuitwa kolo