<br />we huwa unasamehe kwa sababu gani? Mi nasamehewa kwa sababu mi ni handsome, so anajua kabisa sitakataliwa na wengine na yeye kuniacha haitawezekana koz hatampata kama mimi.
<br /><br /><br />
<br /><br />
he he he!first born,hongera kwa kuwa handsome..hivi uhandy unasaidia mtu kusamehewa ee?