sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Yaani nyie mnaumiza vichwa na adhabu za TFF?
1: Bumbuli alifungiwa miaka mitatu
2: Mwakalebela miaka 5
3: Kocha wa Mbeya Kwanza na meneja walifungiwa maisha lakini saivi wapo free
Manara je ???
1: Bumbuli alifungiwa miaka mitatu
2: Mwakalebela miaka 5
3: Kocha wa Mbeya Kwanza na meneja walifungiwa maisha lakini saivi wapo free
Manara je ???