Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa
S.L.P 1694, Dar es salaam Simu:+255-22-2780588/2780712
Fax:+255-2-270048
Email: info@jkt.go.tz Website:Jeshi la Kujenga Taifa
kwi kwi kwi! nyie watoto wa dot.com mnachekesha kweli! mnawapigia kujadiliana nao kama muende au msiende? au ni nini mnawauliza? Enzi zile za kina Afande Dunia... ukijiona tu selule unatafuta mbinu nyingine za kupata gamba na kuendelea na mchakato wa Mlimani. Hakuna mjadala nao...maana ilikuwa ni ama chuo au uwe mtoto wa fulani uende kusoma nje ambao walikuwa wachache sana. Watoto wa akina fulani sana sana walipangiwa kambi za Dar na Ruvu.