Sisi wa uswazi why tunaosha magari?

Mkuu, mbona mimi yangu huwa haichafuki hapa uswazi....[emoji45] [emoji45] [emoji53] [emoji53]
 
Uswazi huwa hakuna 'baba au mama mwenye gari'...

Unamiliki gari uswazi watafuta kurogwa au kuchomolewa vitu kwa gari??
 
Hatufiki huko nyumbani, tunaishia CCM, hivi kuna mtaa ambao hauna CCM kweli hii nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…