MUSHEKY
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 2,812
- 2,760
Awali ya yote niwasalimu nashabiki wenzangu wa kijani na njano
Bila kupoteza muda nichukue fursa hii kwa niaba ya wazee wa jangwani na mashabiki wote watiifu wa wananchi kuulaani uongozi wa juisiemu ukiongozwa na raisi wetu injinia hersi saidi kwa kufanya mambo yanayoigharimu timu pakubwa
Injinia amempa Nandi na Bilnenga zawadi ya milioni tano kwenye harusi yao iliyofanyika Mlimani city usiku wa kuamkia juzi.
Hivi wanayanga wenzangu pesa zote hizo kama zingeongezwa kwenye bajeti ya prisizoni si tungefunga safari tukaenda hata Burundi kuweka kambi kuliko kuwatesa wachezaji wetu na baridi la kule Kimbiji?
Ashakumu si matusi injinia kwa hili umetukwaza kwa kua tunatambua dhahili shahili huyo Nandi na Nenga uliowapa mpunga wote huo hawana mchango wowote kwenye timu yetu ambayo ofisi za makao makuu yake zimeliwa na maji kwa kua zimejengwa kwenye eneo la mabondeni.
Mwisho lakini si kwa umuhimu milioni tano hizi ungeziingiza kwenye bajeti ya machapati pale kambini kwakua imevuja kwamba chakula kikuu cha wakongomani ni machapati na kiuhalisia ndio chakula kikuu cha watu wa Kimbiji tulipoenda kuweka kambi kwa ajili ya prisizoni.
Wasalaam
" Yanga nyuma mwiko mble mwiko"
Bila kupoteza muda nichukue fursa hii kwa niaba ya wazee wa jangwani na mashabiki wote watiifu wa wananchi kuulaani uongozi wa juisiemu ukiongozwa na raisi wetu injinia hersi saidi kwa kufanya mambo yanayoigharimu timu pakubwa
Injinia amempa Nandi na Bilnenga zawadi ya milioni tano kwenye harusi yao iliyofanyika Mlimani city usiku wa kuamkia juzi.
Hivi wanayanga wenzangu pesa zote hizo kama zingeongezwa kwenye bajeti ya prisizoni si tungefunga safari tukaenda hata Burundi kuweka kambi kuliko kuwatesa wachezaji wetu na baridi la kule Kimbiji?
Ashakumu si matusi injinia kwa hili umetukwaza kwa kua tunatambua dhahili shahili huyo Nandi na Nenga uliowapa mpunga wote huo hawana mchango wowote kwenye timu yetu ambayo ofisi za makao makuu yake zimeliwa na maji kwa kua zimejengwa kwenye eneo la mabondeni.
Mwisho lakini si kwa umuhimu milioni tano hizi ungeziingiza kwenye bajeti ya machapati pale kambini kwakua imevuja kwamba chakula kikuu cha wakongomani ni machapati na kiuhalisia ndio chakula kikuu cha watu wa Kimbiji tulipoenda kuweka kambi kwa ajili ya prisizoni.
Wasalaam
" Yanga nyuma mwiko mble mwiko"