Sisi Wanaume wa Dar leo hii tumesimama hapa Kuwapa ukweli Halisi. Dar Vs Mikoani Battle is around

Unaona sasa! ili uonekane wa matawi lazima useme uko Dar. Hata kwenye FaceBook utakuta kijamaa cha mkoani kiko kijijini huko lakini kwenye profile utakuta kaweka 'Lives in Dar'
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bwahaahaa papisi sijui papachi[emoji23]
 
Tangu lini chips yai ikamlidhisha mwanamke?

Wa Dar makelele nisifa yenu......vitendo ziiiii
Chips kwani kitandani ni vitani, ile ni sehemu ya burudani. Ndiyo maana kila kiungo pale kina kazi rasmi. Kwakuwa tukio lile mnalichukulia kama vita ndiyo maana huwa mnakandamizia na ugali ( wa muhogo) kabla ya tukio.
 
Wanaume wa dar wana mambo ya kike kike sana

Utawakuja wanasema


Waooooo

Jomon

My gosh

Iv mtoto wa kiume kweli utaongea maneno kama hayo

Wamelaaniwa hawa washenz hawa
na panya road wakipita, wanaume wa dar wanavaa madela ili wafanane na wanawake...ili panyaroad wawaonee huruma
 
Chips kwani kitandani ni vitani, ile ni sehemu ya burudani. Ndiyo maana kila kiungo pale kina kazi rasmi. Kwakuwa tukio lile mnalichukulia kama vita ndiyo maana huwa mnakandamizia na ugali ( wa muhogo) kabla ya tukio.
kwa mawazo kama haya...acheni wanaume wa dar wavae vipedo..bikini na skuna...kwa visingizio vya umodo.
...
WANAUME WA DAR ARE WEAK LIKE SEVEN DAYS
 
Wanaume kazini najua wanaume wa dar mnaona kama miujiza vile yani nguna kama hii huku mikoani kwetu inasepa na mtu tano tu hivyo hata kitandani show zetu sio dk 2 kama nyie wanaume wa dar
 
Wanaume wa mikoani ukipishana nao harufu wanayotoa utadhani jiko la mchina limezimwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…