Sisi Wanaume wa Dar leo hii tumesimama hapa Kuwapa ukweli Halisi. Dar Vs Mikoani Battle is around




wanaume wa mikoani ukipenda chini na ukakosa akiri ni sawa na bure! ndio maana wengi wenu hamna hela, kwasababu mnawekeza sana mawazo yenu kwenye ngono! utadhani ngono ni uchumi wa viwanda..
View attachment 625377
Povu jingi hakuna mantiki, inaonekana imekuuma sana mkuu.
Everything ulichosema kinaonesha hatred.
Pambana na hali yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Povu jingi hakuna mantiki, inaonekana imekuuma sana mkuu.
Everything ulichosema kinaonesha hatred.
Pambana na hali yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwani ni uongo? tafuta uongo hapo?
 
Tangu lini chipsi ikagegeda vibamia vimejaa huko dar, bosi wa mkoa tu anavaa vipedo, kuna wanaume huko
Eti kuna ndoa ya janjaro show off ndo mmejaza "baby can you fly to KIA" ha ha ha
 
Wanaume wa Dar mzidi kuhonga tu, ila wake zenu tunawatekenya kama makufuli ya kichina
 
Wanaume wa Dar mzidi kuhonga tu, ila wake zenu tunawatekenya kama makufuli ya kichina
sasa wewe ndio mnaona mjikomboa kifikra kwa mawazo yenu ya kutembea na wake za watu! yaani ukiwa wa mkoani sijui kwanini unakuwa mshamba!!
 
Wanaume wa dar wakisikia mtu kaibiiwa wanaogopa kumpiga mwizi! Ndio maana siku ile ya mechi ya simba na lipuli nilipochomolewa Simu nilimshughulikia yule mwizi mm mwenyewe na simu akairudisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…