muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,614
- 1,202
Ujinga waweza kuwafanya watu kuwa wapole au waoga.Ndugu zangu,
Ukiangalia nchi za wenzetu utaona jinsi watu wao ambavyo hawataki masihara. Jambo dogo tu wanaamka na kukomaa vibaya mno, lengo ni kutaka serikali ilifanyie kazi ama laa sauti zao zisikike.
Hapa kwetu Tanzania aisee, watu wamepoa sana, je, ni upole uliopitiliza au uoga? Na madhara ya hii kitu utaona viongozi wanajiibia mali hovyo hovyo.
WAOGA....Ndugu zangu,
Ukiangalia nchi za wenzetu utaona jinsi watu wao ambavyo hawataki masihara. Jambo dogo tu wanaamka na kukomaa vibaya mno, lengo ni kutaka serikali ilifanyie kazi ama laa sauti zao zisikike.
Hapa kwetu Tanzania aisee, watu wamepoa sana, je, ni upole uliopitiliza au uoga? Na madhara ya hii kitu utaona viongozi wanajiibia mali hovyo hovyo.
Sisi wazanzibar ni Watu tuliostaarabika sjajua watanzania wote๐ ๐ ๐