"Sisi Wazalendo" Tunasema Jenerali Ulimwengu Ameshanunuliwa na Mafisadi, Bring Back Our Jenerali

Tatizo lako wewe ni MVIVU wa kusoma, matokeo yake hata unapoelezwa jambo unashindwa kuelewa kwa sababu HUSOMI!

Nishasema mara kadhaa hapa USD 30 Billion LNG Project is much bigger than matatizo yenu ya umeme!! Mnashindwa hata kutumia common sense kwamba ni nani awekeze almost TZS 70 Trilllion kwa ajili ya mradi wa kuzalisha umeme!!

Unarudisha rudisha vipi TZS 70 Trillion kwenye mradi wa kuzalisha umeme?!

Na nimeshasema mara kadhaa kama issue ya umeme, tayari kuna gesi imeshaanza kuchimbwa... Msimbati na Songosongo!! Hapa kwa Msimbati na Songosongo, you DON'T need those trillions but all you need ni kuongeza tu uzalishaji kwa sababu tayari uzalishaji unafanyika na kingine ni kuongeza tu power plants pale Kinyerezi na Ubungo, and that's it!!
 
Hivi hujiulizi ni kwanini niliandika "Sisi Wazalendo" na sio "Sisi Wazalendo"?

Ina maana hizo " " didn't ring a bell to you?!

man, it's sarcasm!
 
Tutaomba mtoto mmoja wa Magufuli akuoe utulie, maana sio kwa obsession hiyo.
Kama unawashwa na unatafuta mabasha, umepotea njia kwa sababu mimi sio mzibua mitaro , kenge wewe!!
 
Wewe mpaka upigwe mti na yule bonge mtoto wa Magufuli ndio utatuliza mshindo wa kumuota ota. Ngoja tukuconnect nae.
Kama unawashwa na unatafuta mabasha, umepotea njia kwa sababu mimi sio mzibua mitaro , kenge wewe!
 
Sahihi Mkuu. Apinge kwa hoja. Sababu hakuna mtanzania utamwambia hatukabiliwi na ukame wakati karibu nchi nzima jua linawaka kila sehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…