Sisi wenye diploma za vyuo chini ya NACTE tutaaply vipi OLAS Loan board wkati link imefungwa?

Ashura9

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2012
Posts
740
Reaction score
485
Wadau nisaidieni, Sisi wenye diploma za vyuo chini ya nacte majibu yalichelewa ndio kwanza tumeweza kuapply TCU sasa. Je tutawezaje kuapply loan board wakati Link ya OLAS IMEFUNGWA? naomba nisadieni mwenzenu
 
dada loanboard wamefunga kupokea maombi kama vp tafuta mdhamin
 
Sister,bila shaka ulikuwa na lengo zuri la kujiunga na diploma. Moja ya malengo yako kama sitokuwa mbali na fikra zako ni ajira ili uweze kuendelea na elimu ya chuo kikuu kwa raha hasa kifedha na kama ujuavyo maisha ya chuo. Hivyo kama ungaliwahi kuunganisha si mbaya lakin kwa kuwa umechelewa jaribu kutafuta sehemu ya kujishikiza ukisubiri mwakani kwan jambo zur huja taratibu.Tuliza kichwa na simama ktk malengo yako,kwan lengo la kwenda huko ni baadae kuajiriwa ama kujiajiri lakin pia siyo mbaya ukipata ajira first kwan kazi yako itakuwa ni kuboresha na kupata ustaw ama hata kubadil kazi kutokana na malengo/ndoto ulizokuwa umejiwekea tangu awali.Nakutakia kila laher unapokwenda kuhitimisha wazo lako,lakini kumbuka kuwa "Maamuzi yako ya leo ni matokeo ya siku za usoni hivyo amua vyema ili upate Mema"
 
Mmh hakuna msaada huku dah
 
dada loanboard wamefunga kupokea maombi kama vp tafuta mdhamin

Oil sumu unamaproblem gani? Kwani lazima ujibu kama huna la maanacla kuongea? Acha wanaohusika wajibu..
 
Oil sumu unamaproblem gani? Kwani lazima ujibu kama huna la maanacla kuongea? Acha wanaohusika wajibu..

tatizo letu watanzania hatupendi kuambiwa ukweli!
Yeye kakwambia ukweli kuwa application zimefungwa akakushauri utafute mdhamini kwani kakushauri vibaya?!
Au ulitaka akwambie atakudhamini yeye ndo uone kaongea la maana?! Kila mtu anahusika kuchangia thread yoyote humu ila asivunje kanuni na taratibu za Jf kama unaona wapo wanaohusika zaidi ya wadau humu wapelekee huko huko thread yako
 
Oil sumu unamaproblem gani? Kwani lazima ujibu kama huna la maanacla kuongea? Acha wanaohusika wajibu..

Mkuu naona una swaum kali mpaka unashindwa kupokea ushauri murua kama wa oil sumu
 
Oil sumu unamaproblem gani? Kwani lazima ujibu kama huna la maanacla kuongea? Acha wanaohusika wajibu..

Hv alichokosea hapo ni nini? Ulitaka akwambieje? Acha hizo wewe... Ulitegemea wakujibu wa loan board nini?
 
Fanya application ya chuo, jisomeshe mwaka mmoja halafu omba mkopo mwakani.
Hlf kuna kIbabu alikuwa anakata binti wa kusomesha
 
Oil sumu pole naona unagundu....umetoa ushaur mzur but muhusika kashindwa kukuelewa na kukuona ww mpuuzi......dada ashura em badilika jaman,,...umeshauliwa vzur af unawaka namna iyo ulitaka asemeje?,,...dah pole sana
 
Dada applicatication za mikopo huwa zinafanyika mwezi may pamoja na wanafunzi waliotoka form6...ulitakkwa uapply kwa kutumia index number ya form four... Then ikifika mwezimwa 8 kwenye small window ya application u can apply for TCU kwaajili ya chuo...kwa sasa nafikiri umechelewa ila unaweza ukajisomesha then ukaomba mkopo mwakani...
 
Fanya application ya chuo, jisomeshe mwaka mmoja halafu omba mkopo mwakani.
Hlf kuna kIbabu alikuwa anakata binti wa kusomesha

Hawezi kupewa bora ahairishe asome mwakani kama hana uwezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…