Sisi Yanga bado ni underdog, lakini tuna midomo mirefu kuliko masikio, tunarudi kwenye Uchokoraa wetu sasa

Sisi Yanga bado ni underdog, lakini tuna midomo mirefu kuliko masikio, tunarudi kwenye Uchokoraa wetu sasa

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Niliandika ile siku ya game ya Simba SC na Utopolo, Nilisema inawezekana Yanga ime drop au inawezekana Simba ime imemprove; Pia nilisema mwaka huu Yanga hatoboi hata group stage .

Mean while , Injinia wa mchongo amekwenda kufanya kosa kubwa la kiutendaji linalokwenda kuicost timu msimu mzima and this is just a beginning.

Wengine tunaona mbele, tunaitazama dunia in a big picture , nyie viazi mviringo black skin mashabiki wa Yanga, acheni Oya Oya, jifunzeni kusikiliza

Pia Soma;

- Yanga Tupunguze Maneno, Jana hatujashinda Goli hata moja, kuna cha kujifunza hapa

Yanga imepitia Transformation over four years ndio tukaipata hii Yanga; uvumilivu wa makocho na kuwapa muda ndio ikazaliwa Yanga, ile consistency ndio inatupa timu bora.

Reforms ni process , kuajiri kocha ni process hata kumuacha kocha ni process, huwezi kumuacha kocha kama unavua shati, it has to be a process with smooth transition na sio kufanya abrupt change, that is stupid .

Gamondi would not lose 2-0 , hasa mechi kama hizi. Huyo kocha mpya he needs time not less than a year ndio anaweza leta Yanga mpya.

I thought Injinia ni smart man , kumbe ni walewale wala mahindi , hamna kitu kichwani. Inamaana hamkujifunza kwa makolo, kutwa kubadilisha makocha kwa mihemko ya kufungwa, did they make it ? si mpaka sasa wapo wapo kama kuku wa kienyeji na hawajielewi.

Kufungwa Taifa goli 2 it’s a bread of shame, tunapoteza muda mwingi sana kwenye social media football badala ya kudeal na analysis . Simba na Yanga ni timu za hovyo huwa hawanaga long term plans.

Anyway , Injinia JITAFAKARI na hao washauri wako, it was not right time kumuacha Gamond. I can respect Nabi alivyoondoka than Gamondi,.

Nabi hakutaka kuanza na timu msimu mpya and that was a smart move.

Kama unaanza na kocha, unatakiwa kumaliza nae msimu and that is what we call consistency
 
Niliandika ile siku ya game ya Simba SC na Utopolo, Nilisema inawezekana Yanga ime drop au inawezekana Simba ime imemprove; Pia nilisema mwaka huu Yanga hatoboi hata group stage .

Mean while , Injinia wa mchongo amekwenda kufanya kosa kubwa la kiutendaji linalokwenda kuicost timu msimu mzima and this is just a beginning.

Wengine tunaona mbele, tunaitazama dunia in a big picture , nyie viazi mviringo black skin mashabiki wa Yanga, acheni Oya Oya, jifunzeni kusikiliza

Pia Soma;
- Yanga Tupunguze Maneno, Jana hatujashinda Goli hata moja, kuna cha kujifunza hapa

Yanga imepitia Transformation over four years ndio tukaipata hii Yanga; uvumilivu wa makocho na kuwapa muda ndio ikazaliwa Yanga, ile consistency ndio inatupa timu bora.

Reforms ni process , kuajiri kocha ni process hata kumuacha kocha ni process, huwezi kumuacha kocha kama unavua shati, it has to be a process with smooth transition na sio kufanya abrupt change, that is stupid .

Gamondi would not lose 2-0 , hasa mechi kama hizi. Huyo kocha mpya he needs time not less than a year ndio anaweza leta Yanga mpya.

I thought Injinia ni smart man , kumbe ni walewale wala mahindi , hamna kitu kichwani. Inamaana hamkujifunza kwa makolo, kutwa kubadilisha makocha kwa mihemko ya kufungwa, did they make it ? si mpaka sasa wapo wapo kama kuku wa kienyeji na hawajielewi.

Kufungwa Taifa goli 2 it’s a bread of shame, tunapoteza muda mwingi sana kwenye social media football badala ya kudeal na analysis . Simba na Yanga ni timu za hovyo huwa hawanaga long term plans.

Anyway , Injinia JITAFAKARI na hao washauri wako, it was not right time kumuacha Gamond. I can respect Nabi alivyoondoka than Gamondi,.

Nabi hakutaka kuanza na timu msimu mpya and that was a smart move.

Kama unaanza na kocha, unatakiwa kumaliza nae msimu and that is what we call consistency
Hujui lolote unakuja kuandika mapupu humu. Kibaya zaidi hujui kama hujui unakuja kupiga makelele mbele ya wanaume. Huna mbele wala nyuma katika mpira. Muwe mnaficha upumbavu wenu.
 
Niliandika ile siku ya game ya Simba SC na Utopolo, Nilisema inawezekana Yanga ime drop au inawezekana Simba ime imemprove; Pia nilisema mwaka huu Yanga hatoboi hata group stage .

Mean while , Injinia wa mchongo amekwenda kufanya kosa kubwa la kiutendaji linalokwenda kuicost timu msimu mzima and this is just a beginning.

Wengine tunaona mbele, tunaitazama dunia in a big picture , nyie viazi mviringo black skin mashabiki wa Yanga, acheni Oya Oya, jifunzeni kusikiliza

Pia Soma;
- Yanga Tupunguze Maneno, Jana hatujashinda Goli hata moja, kuna cha kujifunza hapa

Yanga imepitia Transformation over four years ndio tukaipata hii Yanga; uvumilivu wa makocho na kuwapa muda ndio ikazaliwa Yanga, ile consistency ndio inatupa timu bora.

Reforms ni process , kuajiri kocha ni process hata kumuacha kocha ni process, huwezi kumuacha kocha kama unavua shati, it has to be a process with smooth transition na sio kufanya abrupt change, that is stupid .

Gamondi would not lose 2-0 , hasa mechi kama hizi. Huyo kocha mpya he needs time not less than a year ndio anaweza leta Yanga mpya.

I thought Injinia ni smart man , kumbe ni walewale wala mahindi , hamna kitu kichwani. Inamaana hamkujifunza kwa makolo, kutwa kubadilisha makocha kwa mihemko ya kufungwa, did they make it ? si mpaka sasa wapo wapo kama kuku wa kienyeji na hawajielewi.

Kufungwa Taifa goli 2 it’s a bread of shame, tunapoteza muda mwingi sana kwenye social media football badala ya kudeal na analysis . Simba na Yanga ni timu za hovyo huwa hawanaga long term plans.

Anyway , Injinia JITAFAKARI na hao washauri wako, it was not right time kumuacha Gamond. I can respect Nabi alivyoondoka than Gamondi,.

Nabi hakutaka kuanza na timu msimu mpya and that was a smart move.

Kama unaanza na kocha, unatakiwa kumaliza nae msimu and that is what we call consistency
Man City kapoteza mechi 5 mfululizo sembuse Yanga...
 
Mkuu ni mapema sana kutabiri Yanga haitoboi group stage. Timu imecheza vizuri tu ni mapungufu tu ya kimbinu yametuhukumu pamoja na ubutu wa safu ya ushambuliaji.

Ni jambo la kushukuru pia tumekutana na kipigo mwanzoni kabisa kuliko mambo yangeanza kuvurugika katikati.

Ni rahisi kujifunza unapokosea kuliko unapopatia. Timu ipo na inacheza vizuri, mabadiliko kidogo tu na wimbo wa "Wanatumia Sindano" unarudi.
 
Mkuu ni mapema sana kutabiri Yanga haitoboi group stage. Timu imecheza vizuri tu ni mapungufu tu ya kimbinu yametuhukumu pamoja na ubutu wa safu ya ushambuliaji.

Ni jambo la kushukuru pia tumekutana na kipigo mwanzoni kabisa kuliko mambo yangeanza kuvurugika katikati.

Ni rahisi kujifunza unapokosea kuliko unapopatia. Timu ipo na inacheza vizuri, mabadiliko kidogo tu na wimbo wa "Wanatumia Sindano" unarudi.
Hivi tangu muambiwe mnatumia sindano ndo mkaanza kukandwa? What a coincidence.
 
20241127_024700.jpg
 
Mkuu ni mapema sana kutabiri Yanga haitoboi group stage. Timu imecheza vizuri tu ni mapungufu tu ya kimbinu yametuhukumu pamoja na ubutu wa safu ya ushambuliaji.

Ni jambo la kushukuru pia tumekutana na kipigo mwanzoni kabisa kuliko mambo yangeanza kuvurugika katikati.

Ni rahisi kujifunza unapokosea kuliko unapopatia. Timu ipo na inacheza vizuri, mabadiliko kidogo tu na wimbo wa "Wanatumia Sindano" unarudi.
Mkuu vipigo 3 fluid , kweli ni mbinu?

Kama kocha angekuwa gamondi, ningeelewa
Huyu ni kocha mpya
 
Niliandika ile siku ya game ya Simba SC na Utopolo, Nilisema inawezekana Yanga ime drop au inawezekana Simba ime imemprove; Pia nilisema mwaka huu Yanga hatoboi hata group stage .

Mean while , Injinia wa mchongo amekwenda kufanya kosa kubwa la kiutendaji linalokwenda kuicost timu msimu mzima and this is just a beginning.

Wengine tunaona mbele, tunaitazama dunia in a big picture , nyie viazi mviringo black skin mashabiki wa Yanga, acheni Oya Oya, jifunzeni kusikiliza

Pia Soma;
- Yanga Tupunguze Maneno, Jana hatujashinda Goli hata moja, kuna cha kujifunza hapa

Yanga imepitia Transformation over four years ndio tukaipata hii Yanga; uvumilivu wa makocho na kuwapa muda ndio ikazaliwa Yanga, ile consistency ndio inatupa timu bora.

Reforms ni process , kuajiri kocha ni process hata kumuacha kocha ni process, huwezi kumuacha kocha kama unavua shati, it has to be a process with smooth transition na sio kufanya abrupt change, that is stupid .

Gamondi would not lose 2-0 , hasa mechi kama hizi. Huyo kocha mpya he needs time not less than a year ndio anaweza leta Yanga mpya.

I thought Injinia ni smart man , kumbe ni walewale wala mahindi , hamna kitu kichwani. Inamaana hamkujifunza kwa makolo, kutwa kubadilisha makocha kwa mihemko ya kufungwa, did they make it ? si mpaka sasa wapo wapo kama kuku wa kienyeji na hawajielewi.

Kufungwa Taifa goli 2 it’s a bread of shame, tunapoteza muda mwingi sana kwenye social media football badala ya kudeal na analysis . Simba na Yanga ni timu za hovyo huwa hawanaga long term plans.

Anyway , Injinia JITAFAKARI na hao washauri wako, it was not right time kumuacha Gamond. I can respect Nabi alivyoondoka than Gamondi,.

Nabi hakutaka kuanza na timu msimu mpya and that was a smart move.

Kama unaanza na kocha, unatakiwa kumaliza nae msimu and that is what we call consistency
Kwanza usitupangie cha kufanya Babu,,mashabiki kama nyie ni gonjwa la taifa, Unaposema yanga avuki group stage kwani kacheza mechi ngapi? Kacheza Moja bado 5 unawezaje kusema atovuka kwa kupoteza mechi Moja? Cha pili unasema gamond kaondolewa kimakosa wewe kwa akili yako ndogo unajua factor Moja tu kwamba kaondolewa kwa sababu ya matokeo tu basi hujui matokeo ilikuwa ni nyongeza tu ya kumuondoa? Gamond alikuwa na mambo ya kipuuzi kwenye benchi la ufundi akuna kiongozi yoyote mwenye akili timamu angembakiza maana angezidi kuididimiza timu zaidi badala ya kuiinua,, kwa maana iyo Engineer alikuwa right kumuondoa kwa 100%
Habari za kocha mpya kujitafuta sio case ni Bora kunywa dawa chungu ili upone haraka kuliko kunywa tamu isiyokutibu kwa wakati!
Kingine nyie mashabiki muwe mnafanya research yenu kwanza kabla amjalaumu jambo husika itawasaidia,,Yanga kupoteza mechi maneno lazima yawepo ya Kila aina ata wasioitakia mema watachochea tu ilimradi furaha yao ikamilike lakini yanga watarudi kwenye right way muda sio mrefu!
 
Back
Top Bottom