Huyu shori si wa pande za kwa Obama arifu.....shori Mrusi.....US hakuna kitu kama hii aisee.....22yrs old kanunua kitu full paid mazee mnywamwezi 88mil acha kabisa.....Hakuna nchi kama USA.
Halafu dogo we yaelekea unafuatilia sana yanayojiri USA.
Huyu shori si wa pande za kwa Obama arifu.....shori Mrusi.....US hakuna kitu kama hii aisee.....22yrs old kanunua kitu full paid mazee mnywamwezi 88mil acha kabisa.....
Arifu sasa ulitaka nifuatilie mambo ya Djibout?
yeah tatizo liko wapi?....
Unalinganisha USA na Sri lanka? au?
NBA inaanza lini nikalipie Dekoda?
akifikisha 40 si kibibi huyu?
Ni matumizi ya kawaida sana, ni sawa na wewe unapochukua mia mbili unaenda kununua nyanya gengeni.