Sijuwi pahala gani nilisoma kuhusu hili tatizo la hawa incumbets kutumia mali za umma baada ya mda wao wa uongozi kumalizika, kwa kujipigia kampeni za kurudi madarakani. Ilitakiwa wakati rais, wabunge na madiwani mda wao wa uongozi umemaliza walitakiwa waache kutumia ushawishiwa nafasi zao, mali za umma katika shughuli zao za siasa za kutafuta nafasi ya kurudi tena. Hapa nashangaa Mh.Sitta anadaiwa kutumia walinzi toka serikalini sijuwi akiwa kama nani?
Ipo haja kuwe na sheria kurekebisha hii ili kuwa na mazingira sawa ya ushindani na kuzuia ufisadi huu wa kisiasa.