N i kisa cha kweli imenitokea leo.
Huyu binti, anasoma hapa katikati ya jiji,
mara kwanza nilikutana naye alikuwa amevaa kimtego, nikaomba namba akasema hana simu.
Hivyo tukawa tunawasiliana na simu ya ndugu yake nyumbani kwao, nikamnunulia simu ya ukweli ili tuwe hewani.
baada ya muda akanipiga mzinga kwa Pasaka nikampa, tukaonana, nikamtokea akakubali ombi langu.\
Kisa chenyewe
Baada ya kuona, ninaweza kumsaidia mambo madogo madogo, akawa ananipiga mizinga ya hapa na pale nikadhani ya kawaida. binti kila tumepanga kuonana anasema hana muda anaumwa.
Siku kadhaa rafiki yake akasema huyo demu ameibiwa simu hivyo anaogopa kuniambia, nimpe pesa yeye akamkabidhi ili akanunue simu.
Leo akasema hayuko chuo yuko nyumbani kwao ana birthday yake nikasema poa tumeet kwao akadai nisienda coz hakuna sherehe yoyote zaidi ya keki, hibyo anaomba pesa ya keki, sikukubali kama nitatuma....
tukawa tunachat na kusema hayuko chuo hivyo nimtumie pesa ya keki, mara ikaingia sms ikisema "niko chuo" (simu ya rafiri yake wa chuo anatumia yeye alishaibiwa niliyomnunuliwa kwa madai yake).
Mchana wakati natoka kwenye kikao nipo na gari nikamuona amesimama akitokea chuo, anasubiri gari yangu ipite ili avuke.... nikampigia simu nikamwambia uko wapi ili kuhakikisha kama yuko homu bado.
Akajibu niko nyumbani, siko chuo..... nikamwambia mbona nakuona unasubiri gari uvuke barabara.... simu ya rafiki yake ikakatwa... nikamtext ni shetani mkubwa ambaye sijawahi kumuona maishani. Akajibu Nikome kumwita shetani mimi na familia yangu ndiyo shetani.........
stori ndefu lakini hapo nimefupisha....nimefuta namba yake, na kuanza kumsahau kidogo ingawa mood ya kufanyakazi haipo kabisa leo.....
Sitaamini wasichana tena...... Nawasilisha
Huyu binti, anasoma hapa katikati ya jiji,
mara kwanza nilikutana naye alikuwa amevaa kimtego, nikaomba namba akasema hana simu.
Hivyo tukawa tunawasiliana na simu ya ndugu yake nyumbani kwao, nikamnunulia simu ya ukweli ili tuwe hewani.
baada ya muda akanipiga mzinga kwa Pasaka nikampa, tukaonana, nikamtokea akakubali ombi langu.\
Kisa chenyewe
Baada ya kuona, ninaweza kumsaidia mambo madogo madogo, akawa ananipiga mizinga ya hapa na pale nikadhani ya kawaida. binti kila tumepanga kuonana anasema hana muda anaumwa.
Siku kadhaa rafiki yake akasema huyo demu ameibiwa simu hivyo anaogopa kuniambia, nimpe pesa yeye akamkabidhi ili akanunue simu.
Leo akasema hayuko chuo yuko nyumbani kwao ana birthday yake nikasema poa tumeet kwao akadai nisienda coz hakuna sherehe yoyote zaidi ya keki, hibyo anaomba pesa ya keki, sikukubali kama nitatuma....
tukawa tunachat na kusema hayuko chuo hivyo nimtumie pesa ya keki, mara ikaingia sms ikisema "niko chuo" (simu ya rafiri yake wa chuo anatumia yeye alishaibiwa niliyomnunuliwa kwa madai yake).
Mchana wakati natoka kwenye kikao nipo na gari nikamuona amesimama akitokea chuo, anasubiri gari yangu ipite ili avuke.... nikampigia simu nikamwambia uko wapi ili kuhakikisha kama yuko homu bado.
Akajibu niko nyumbani, siko chuo..... nikamwambia mbona nakuona unasubiri gari uvuke barabara.... simu ya rafiki yake ikakatwa... nikamtext ni shetani mkubwa ambaye sijawahi kumuona maishani. Akajibu Nikome kumwita shetani mimi na familia yangu ndiyo shetani.........
stori ndefu lakini hapo nimefupisha....nimefuta namba yake, na kuanza kumsahau kidogo ingawa mood ya kufanyakazi haipo kabisa leo.....
Sitaamini wasichana tena...... Nawasilisha